TMwamafupa
Member
- Apr 30, 2012
- 27
- 6
Utakumbukwa daima kwa msimamo wako dhidi ya udhalimu umekufa umesimama hujawahi kumpigia goti dhalimu yeyote.
RIP mpiganaji David
RIP mpiganaji David
Tunaanza kuzalisha kizazi chenye chuki na visasi ndani ya nchi yetu na hii ni hatari sana!!!Hakuna mtu anayeweza kuvumilia baba yake kuuawa kinyama namna ile bila kosa lolote.
yap kamananda,jina lake litatajwa miongoni mwa mashujaa katika siku hiyo ya kushukuru Mungu na kuwaenzi mashujaa( Thanks giving and heroes day).siku hiyo itakuwa public holiday na siku kubwa mno kwa wazalendo wa nchi hii.wajane,wagane,watoto na wajukuu wa mashujaawatoka mbele kupokea nishani za ushujaa(PRIZE OF VALOUR) kwa niaba ya wapendwa wao!nami hata kutoka kaburini,nitaungana na watakaokuwepo wakati huo kushukuru, na kuwaenzi mashujaaR.I.P Mwangosi kwa damu yako iliyomwaka cdm haitaonewa tena .tutakukumbuka jina lako siku ya Uhuru wa pili.kama moja wa mashuja wa nchi hi .amen
yap kamananda,jina lake litatajwa miongoni mwa mashujaa katika siku hiyo ya kushukuru Mungu na kuwaenzi mashujaa( Thanks giving and heroes day).siku hiyo itakuwa public holiday na siku kubwa mno kwa wazalendo wa nchi hii.wajane,wagane,watoto na wajukuu wa mashujaawatoka mbele kupokea nishani za ushujaa(PRIZE OF VALOUR) kwa niaba ya wapendwa wao!nami hata kutoka kaburini,nitaungana na watakaokuwepo wakati huo kushukuru, na kuwaenzi mashujaa