Mchochezi
JF-Expert Member
- Feb 29, 2012
- 10,416
- 6,578
kwa takribani siku nne mfululizo kila mtu anazungumza habari za kifo cha Kanumba ki ukweli inauma ila ndo yashatokea na tushamzika leo basi hatuna budi kuwaachia wanafamilia waendelee na msiba wa mpendwa wao na sisi tuendelee na shughuli zetu za kila siku!