Msiba siku ya Ndoa

Msiba siku ya Ndoa

Mzee Mtambuzi hujawahi kukutana na hii makitu???

Mh, umenikumbusha moja ya ndugu zangu Wachaga, Walipata msiba wa ghafla wa bibi wa bi harusi mwenye jina la bi harusi wakaficha hadi walipomaliza kula ndafu ndiyo asubuhi wakatangaza msiba...

ODM Asprin asiome hapa
 
Last edited by a moderator:
Kifo si kifo tu...Mungu ndiye anayejua wapi na lini
 
Mh, umenikumbusha moja ya ndugu zangu Wachaga, Walipata msiba wa ghafla wa bibi wa bi harusi mwenye jina la bi harusi wakaficha hadi walipomaliza kula ndafu ndiyo asubuhi wakatangaza msiba...

ODM Asprin asiome hapa

Mkuu je hii kwa mila zenu huwa mnaiwekaje?? Maana humu kuna watu wamezaliwa Ocean Road na kukulia Upanga wala hawafahamu mila na desturi zao....
 
Last edited by a moderator:
Wote tunatoka kwenye udongo na tutarudi udongoni - ni kitu cha kawaida katika maisha yetu ila tunahuzunika kwa kwa kuachwa na vipenzi wetu lakini hakuna hila na maisha lazima yaendelee. Kuhusu mila za makabila , kwa kweli zote zina kiini cha ushirikina na kitu ambacho hakina maana. Ukifuatilia mila za kikabila sijawahi kusikia mtu kafa bila ya kurogwa hata kama marehemu alikua kisha fikia mwisho wa maisha kwa kawaida ya binaaadamu - yaani kala chumvi ya kutosha. hivyo hizi mila hazina kinga na hazina muongoza ila kukutia hofu katika maisha
 
Mkuu je hii kwa mila zenu huwa mnaiwekaje?? Maana humu kuna watu wamezaliwa Ocean Road na kukulia Upanga wala hawafahamu mila na desturi zao....

haijawahi kutokea kijini kwetu, labda ingetokea ningejua ni kitu gani kinafanyika
 
Ngoja leo nipime umri wa watu humu Mmu, kuhusu hii mada nitawapa majibu stahiki kesho.......

Nina rafiki yangu ni mzaramo moderate alitualika marafiki zake tumsindikize kwao Msanga kulikuwa na ngoma zao za kimila za kutoa wali (siyo ubwabwa ni mabinti)

Hizi ngoma za Wazaramo kwa kawaida huandamana na ngono zembe hasa yule mpiga goma huwa anasusa kupiga mpaka apewe mwanamke achachuwe kwanza.....

Lakini yule mzee Alwatan kwenye mkesha ule aliifunga kitaalam ile shughuri hakuna ngono iliyofanyika na hakuna mtu yeyote aliyejisaidia haja kubwa na pia alikamata anga na kuizuia mvua.

Kuwa uyaone, siyo magorofa.
 
Ngoja leo nipime umri wa watu humu Mmu, kuhusu hii mada nitawapa majibu stahiki kesho.......

Nina rafiki yangu ni mzaramo moderate alitualika marafiki zake tumsindikize kwao Msanga kulikuwa na ngoma zao za kimila za kutoa wali (siyo ubwabwa ni mabinti)

Hizi ngoma za Wazaramo kwa kawaida huandamana na ngono zembe hasa yule mpiga goma huwa anasusa kupiga mpaka apewe mwanamke achachuwe kwanza.....

Lakini yule mzee Alwatan kwenye mkesha ule aliifunga kitaalam ile shughuri hakuna ngono iliyofanyika na hakuna mtu yeyote aliyejisaidia haja kubwa na pia alikamata anga na kuizuia mvua.

Kuwa uyaone, siyo magorofa.

Ya kweli hayo?
 
Kwanza tambua kifo n wakat wako umefika na kila mtu atakufa kwa wakati wake.....huwez zuia kifo kingekua kinazuiwa bas watu wasingekufa ni imani potof tu cha msing n kumshukur mungu kwanza maana kufa n wajibu hivo unashukuru mungu kama mhusika mwenyewe kafariki bas yule anaebaki ashukur mungu na ajue tu kua yule hakua riziki yake ingekua yake isingekua vile....
 
Hata wewe!?


Ndugu yangu Matola,

Siyo watu wote wanaamini mambo ya ushirikina. Mimi ni mmoja wao na wakati mwingine huwa natamani kukutana ana kwa ana na hao wachawi!!

Hata hivyo, nakubali kuwa kuna watu wanaendekeza ushirikina hadi wamekuwa watumwa wa hayo mambo. Nadhani wanasiasa ndiyo wanaongoza!!
 
Last edited by a moderator:
Ndugu yangu Matola,

Siyo watu wote wanaamini mambo ya ushirikina. Mimi ni mmoja wao na wakati mwingine huwa natamani kukutana ana kwa ana na hao wachawi!!

Hata hivyo, nakubali kuwa kuna watu wanaendekeza ushirikina hadi wamekuwa watumwa wa hayo mambo. Nadhani wanasiasa ndiyo wanaongoza!!

Bahati nzuri nimeona hata wachungaji wakiwatumia waganga wa kienyeji......

Kabla ya kifo chake Sheikh Yayha alikuwa rafiki mkubwa wa Mzee wa Upako.

Tembelea maeneo ya Gamboshi halafu ongea hii kauli kwamba huamini uchawi.
 
Last edited by a moderator:
Bahati nzuri nimeona hata wachungaji wakiwatumia waganga wa kienyeji......

Kabla ya kifo chake Sheikh Yayha alikuwa rafiki mkubwa wa Mzee wa Upako.

Tembelea maeneo ya Gamboshi halafu ongea hii kauli kwamba huamini uchawi.

Gamboshi iko wapi kaka?

Kweli naweza kwenda nikaone mwenyewe....

Haijawahi kukaa kichwani kabisa hii biashara ya uchawi, wachawi wenyewe na wafuasi wao!

Naamini sitakaa niwe mmoja wa watumishi wao!
 
Gamboshi iko wapi kaka?

Kweli naweza kwenda nikaone mwenyewe....

Haijawahi kukaa kichwani kabisa hii biashara ya uchawi, wachawi wenyewe na wafuasi wao!

Naamini sitakaa niwe mmoja wa watumishi wao!

Gamboshi ndio makao makuu ya uchawi Tanzania,

Ngoja nimwite Kongosho akupe google map.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom