Ngao 5 za lucifer/shetani
.uganga
.uchawi
.mila na desturi
.dini
.wasoma nyota &wapunga pepo!
Kipengele cha mila na desturi kinafanya kazi effectively kupitia Maagano!
Hapa ndo wengi wanaangamia bila kujua kwenye koo zao kuna maagano yaliwekwa huko nyuma ambayo effect yake ipo from 1generation to another. ..
Biblia inasema ' nitawapatiliza wana maovu ya baba zao tangu kizazi cha kwanz, cha pili, cha tatu mpaka cha nne '.
Means, agano alilofanya babu yako linaku affect ww na ht uzao wako mpaka litakapovunjwa!
Sio wote ambao wanapata misiba inakua hivyo ....
bt kuna ambao ni hivyo coz miungu isipoabudiwa au kupewa sadaka km matambiko na kafara za wanyama (damu) huwa inatoa adhabu pia coz unaenda kinyume na maagano.....
Mfano labda ukoo fulani uliweka agano hakuna kuoa/kuolewa nje ya kabila lao ww ukajifanya digital ukakataa kufuata lzm yakufike ss inategemea adhabu iliyokuwa imependekezwa wakati agano linafanywa.....
Wasimamuzi wa haua maagano ya koo/familia ni mizimu (miungu ya familia )
Cjui km nimeeleweka kidogo
charminglady