Msiba siku ya Ndoa

Msiba siku ya Ndoa

Ni mambo ya kawaida tu;
Huwezi kumzuia Mungu kufanya chochote wakati wowote;

Kwetu hatuna mila, usiogope.
 
Sijui hata nichangie nini,harusi inakuwa haina furaha hata
 
Habhari zenyu binafsi wana wa kiume na kike jukwaa hapa?

Najua kuna baadhi ya watu hii hali imewahi kuwatokea ama wameshuhudia.

Ifikapo siku ya harusi ama kukaribia siku ya harusi kunatokea msiba aidha upande wa bwana harusi mtarajiwa au bibi harusi mtarajiwa. Anaweza akafariki mhusika mwenyewe au ndugu wa karibu wa wahusika hao.

Hali hii imekuwa ikitafsiriwa na baadhi ya makabila kwa tafsiri mbalimbali.

Naomba wanazuoni watupe ufafanuzi je hii hali uhusiana na nini!? Pia kuna baadhi ya makabila hufanya matambiko kuzuia hii hali ya msiba kipindi cha harusi....

Karibuni kwa mjadala...

Dadaa charminglady kwani inapokaribia kuoa au kuolewa unapata privilege toka kwa Mungu ya kutokufa kwa kipindi hicho?
 
Last edited by a moderator:
Unauhusiano na bibiharusi alyefariki ambaye ndoa yake ilikuwa iwe jumamosi?

Mkuu sina uhusiano wowote ila nilizisikia hizo habari toka chanzo cha karibu na bi harusi huyo!! Nikaona nilete hapa ili wajuzi wa mambo watufungue majicho...
 
Ni mambo ya kawaida. Hakuna anayechagua siku ya kufa. Unaweza kufa hata ukiwa kanisani, katikati ya misa. Au msikitini ukiwa kwenye ibadai. Kwa kifupi, maiti hachagui siku ya kufa. Ikifika muda wa kuondoka duniani, ni lazima utaondoka tu!!
 
Ni mambo ya kawaida. Hakuna anayechagua siku ya kufa. Unaweza kufa hata ukiwa kanisani, katikati ya misa. Au msikitini ukiwa kwenye ibadai. Kwa kifupi, maiti hachagui siku ya kufa. Ikifika muda wa kuondoka duniani, ni lazima utaondoka tu!!
aiseeeeeee ni kweli
 
Back
Top Bottom