ndyoko
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 4,971
- 1,650
Jamani wanajf, member mwenzetu amefiwa na mama yake mdogo na sasa yuko safarini kwenda msibani Moshi. Tumuombee ktk sala zetu afike salama na marehemu apumzike mahali pema peponi, Ameen. Sisi tulimpenda ila Bwana amempenda zaidi, jina lake lihimidiwe.
Mazishi yatafanyika KESHO, jumatatu 12/12/2011 huko SAME (milimani)
Kwa members walioko maeneo ya Arusha na Moshi mnaweza kuungana na mwenzetu physically.
Mazishi yatafanyika KESHO, jumatatu 12/12/2011 huko SAME (milimani)
Kwa members walioko maeneo ya Arusha na Moshi mnaweza kuungana na mwenzetu physically.