Mamndenyi
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 40,563
- 52,200
Salaam sana wana MMU na wengineo wote;
Ilikuwa ni juzi ijumaa jirani yetu amepata balaa la kuunguliwa na nyumba;
Kwa kifupi;
Baba mwenye nyumba alimwacha mkewe wa ndoa akaamua kuvuta ndani house gel;
Mke wa ndoa kwa kihoro haikuchukua muda Mungu akampumzisha;
Maisha yakaendelea, mjakazi ambaye sasa ndo mama mwenye nyumba akajaliwa mtoto wa kiume tuseme mtoto alikuwa na miaka mitatu hadi minne;
Hiyo Ijumaa sasa;
Mama ameenda kwenye shughuli zake mtoto amebaki home na house gel,
haikujulikana kana ni shoti ya umeme au ni mtoto aliwasha kiberiti ndani
moto ukaanza kidogo kidogo, house gel badala akimbilie kumwokoa mtoto akaanza kutoa vyombo vya ndani
akamsahau mtoto, ile majirani wameona moto wakimbilie kwanza kuhangaika kufungua geti ili wafike ndani moto
ndo umezidi;
Wakamkuta house gel anajaribu kutoa vyombo vya ndani nje, kuuliza mtoto yuko wapi, kumbe alimsahau ndani;
ni majonzi na huzuni kubwa, kweli yule mtoto kaungulia ndani hadi kaisha kabisa;
Mbaya zaidi baba mwenye nyumba yuko kifungoni kutokana na kosa la kukutwa na pesa za bandia;
.................... Mtanisamehe pale ambapo sikueleweka vizuri, ni kiswahili kinanishinda.............
Ilikuwa ni juzi ijumaa jirani yetu amepata balaa la kuunguliwa na nyumba;
Kwa kifupi;
Baba mwenye nyumba alimwacha mkewe wa ndoa akaamua kuvuta ndani house gel;
Mke wa ndoa kwa kihoro haikuchukua muda Mungu akampumzisha;
Maisha yakaendelea, mjakazi ambaye sasa ndo mama mwenye nyumba akajaliwa mtoto wa kiume tuseme mtoto alikuwa na miaka mitatu hadi minne;
Hiyo Ijumaa sasa;
Mama ameenda kwenye shughuli zake mtoto amebaki home na house gel,
haikujulikana kana ni shoti ya umeme au ni mtoto aliwasha kiberiti ndani
moto ukaanza kidogo kidogo, house gel badala akimbilie kumwokoa mtoto akaanza kutoa vyombo vya ndani
akamsahau mtoto, ile majirani wameona moto wakimbilie kwanza kuhangaika kufungua geti ili wafike ndani moto
ndo umezidi;
Wakamkuta house gel anajaribu kutoa vyombo vya ndani nje, kuuliza mtoto yuko wapi, kumbe alimsahau ndani;
ni majonzi na huzuni kubwa, kweli yule mtoto kaungulia ndani hadi kaisha kabisa;
Mbaya zaidi baba mwenye nyumba yuko kifungoni kutokana na kosa la kukutwa na pesa za bandia;
.................... Mtanisamehe pale ambapo sikueleweka vizuri, ni kiswahili kinanishinda.............