Pure nomaa
JF-Expert Member
- Dec 10, 2011
- 1,158
- 1,381
Wakati watanzania wengi wakijiandaa kusheherekea sikukuu ya x mass siku ya leo kuna taarifa zimetoka zinazosema kuwa x mass imesogezwa mbele kutokana na wenzetu kukumbwa na mafuriko so tutatangaziwa siku nyingine ya kusheherekea x mas ila kwa nchi nyingine ipo kama kawaida.
SOURCE
JOKES FM
merry x mas all members wa JF
SOURCE
JOKES FM
merry x mas all members wa JF