Kweli Mkuu, ingekuwa ndo Diamond hapo; angekuwa angekuwa kama huyu jamaa hapa chini:Mkuu huyu wizkid anaakili sana mkwanja anaopiga angekuwa ndio diamond sijui angejisifia kiasi gan
Kweli Mkuu, ingekuwa ndo Diamond hapo; angekuwa angekuwa kama huyu jamaa hapa chini:Mkuu huyu wizkid anaakili sana mkwanja anaopiga angekuwa ndio diamond sijui angejisifia kiasi gan
Tuwape ushauri basi BET wawe wanachezesha droo kupata nominees; au unasemaje?!Ali Kiba siku ambayo atakuwa nominated BET lzm achukue tunzo. Diamond mbwembwe tuu hakuna kitu
Duuh huyu mtu ni hataree aseehajaenda na wala hajapromo kana kwamba hajui chochote
ila diamond mpaka kwenye program zake aliweka,hahahaha ila Dai nae kwa show off,na angeipata angelambisha watu ndimu,hahahhahaha,tifah minyota leo tungekoma
bet siwaelewiNo mwaka jana eddy kenzo alishinda tuzo ya bet people's choice awards kura zilikuwa zinapigwa insta best international act africa alichukua stone bwoi toka ghana aliwakalisha wiz kid, yemi alade, sarkodie na aka
Duh kumbe kijana yuko njemaKweli Mkuu, ingekuwa ndo Diamond hapo; angekuwa angekuwa kama huyu jamaa hapa chini:
View attachment 360269
View attachment 360270
Sizitaki mbichi hizi
Pamoja na kutoa ngoma na papa wemba jamaa kaukalia? Uzuri BeT sio kilimanjaro ruge na tale hawakaribii box la kura.
uwiiiiii jamani nimecheka sana.vp mtaenda Airport? Maana huyu mtu nae angepata ingekua kero mjini
shut up nigga!watu inabidi wakae waelewe kuwa mziki wa bongo kwa Africa bado mchanga...sisi bado tuko kwenye zama za kutembelea single moja miezi 6....black coffee ana album km 5 haijalishi tunamjua au lah maana ht wasanii wengine wakubwa wa nje wengi wetu hatuwajui zaidi ya wale wanaotoka america....type ya muziki anayoimba kwa watanzania kumjua ni kitendawili ila kwa judges wa BET sidhani km ni kitendawili,...ukiangalia wengine kwenye kategory wana discograph ya kueleweka recent wana album sokoni, Wizkid ana ayo album inafanya vizuri, cassper ana album alitoa mwaka jana, yemi alade ana album alitoa mwaka huu, aka ana album...hao wote wana album amabazo wameuza km international artist sio local artists. Wasanii wetu japo wanahisi washafika level ya kimataifa ila kwa judge yyt amabae hawajui hawezi kuwaweka km international artists bali underground kimataifa japo mashabiki wa kibongo tunajua sana kuhype kwenye mitandao kuanzia diamond hadi alikiba fans....Mfano Chris Brown pamoja na ukubwa wake kimuziki habweteki kwa miaka miwili tu ambazo ndugu zetu diamond na alikiba (japo hahusiki na thread ila watu humleta kila akitajwa diamond) wanahangaika na nyimbo official zisizozidi 6, Chris ana album 2 X(2014) na Royalty (2015) na mwaka huu anatoa album nyingine heartbreak of full moon bila kusahau mixtapes kibao
MY TAKE: fans wa bongo fleva kabla ya kwenda kutoa matusi kwenye page za watoa tuzo za kimataifa ni vyema tukajiuliza wasanii wetu wanafanya nn cha maana (zaidi ya shooting za SA ) kuweza kuleta ushindani kwa watu walio serious na kazi zao za sanaa?
“One person's fact is another person's noise.” IQ differshut up nigga!
too much noise...
Mpuuzi wewe.ngoma ya papa wemba haina hata wiki.Pamoja na kutoa ngoma na papa wemba jamaa kaukalia? Uzuri BeT sio kilimanjaro ruge na tale hawakaribii box la kura.
Ile Nyimbo Ina Version Kama Tatu Au Zaidi Hv Ila Mi Nimeskia Tatu Kuna Moja Ina Brige Ya Dem,,,kuna Moja Ina Bridge Ya Wiz Kuna Moja Haina Bridge Kabisaa,,,nadhan Ulini Mis~understand Im Nt Taking Anythn Away From Wizkidayo He Is For Sure The Best In The Business Right Now Period,,,,diamond Tunampenda Na Hatutaacha Kumpenda He Put Us On The Map Ila Wizkidayo Is Next Level Ryt Nw ,,,,,yaagaaaMbona anasikika sema drake hajampa nafac ya kuimba sana r kelly alivyompaga wiz kid sema jamaa now yupo next level anangoma yke ya chris brown kuna nyimbo kashirikishwa na tennie temper wa u.k, na kuna nyingine kashirikshwa na major razor
Mpuuzi wewe.ngoma ya papa wemba haina hata wiki.
Hakuna msanii anayechukua tuzo kila mwaka; na kwa BET, vigezo wanavifahamu wenyewe ndo maana 50 Cent aliwatukana! Bado Chibu anashikilia MTV kwahiyo hadi sasa tuzo za kimataifa kwa msimu huu unazo na hizi za BET sie wengine ndo maana tulikuwa wala hatuhangaiki nazo kama ambavyo hivi Sasa Wanaija wasivyohangaika nazo-- in short, Wanaija wamezisusa BET Awards ki utuzima!
ila official version n ile yupo drake, wiz kid n huyo demu kyll na ndo ipo kwny charts za billboardIle Nyimbo Ina Version Kama Tatu Au Zaidi Hv Ila Mi Nimeskia Tatu Kuna Moja Ina Brige Ya Dem,,,kuna Moja Ina Bridge Ya Wiz Kuna Moja Haina Bridge Kabisaa,,,nadhan Ulini Mis~understand Im Nt Taking Anythn Away From Wizkidayo He Is For Sure The Best In The Business Right Now Period,,,,diamond Tunampenda Na Hatutaacha Kumpenda He Put Us On The Map Ila Wizkidayo Is Next Level Ryt Nw ,,,,,yaagaaa
aha kumbe umeipata?Hivi mimi na wewe nani mpuuzi? Mpaka umefikia hatua ta kujiita makalio ni upuuza wa hali ya juu!!
Post ndeeefu lakini ni irrelevant na nilichokiandika!!Kama mlikua mnayajua yote haya kuhusu BET sasa zile vurumai za kuomba kura zilikua za nini?na je mwakilishi wetu angeshinda mngeyasema haya?tatizo tunaamini kua msanii wetu anajulikana kote kama ambavyo hamtumjui Black Coffee basi wapo waliokua wanajiuliza uyu Diamond kaimba nyimbo gani.
Bado nampongeza StarBoy kwa kubeza BET Awards maana hakijishughulisha nazo kabisaaa kwa kua zina ubata kibao kama na Diamond angepiga kimya pia na mkaja na maelezo kama yako ningewaelewa ila na party iliandaliwa incase tukirudi na award mkononi na ukumbini walienda iweje muanze na sizitaki mbichi hizi.
Kushindwa au kushinda nawaomba mjue ratiba ya Diamond ni lini anarudi mjazane pale airport kumpokea huo ndio UZALENDO,umu ndani siku za nyuma mmetukana sana kisa mtu akisema Diamond hawezi kupata hii tunzo mkatoa na vigezo vyenu lukuki leo tunalia kimya kimya ila kwa kumfanya msanii wetu awe bora zaidi tukubali kukosolewa tatizo team ya Diamond haitaki kuambiwa udhaifu hapo lazima matusi yamwagike.