Hakuna msanii anayechukua tuzo kila mwaka; na kwa BET, vigezo wanavifahamu wenyewe ndo maana 50 Cent aliwatukana! Bado Chibu anashikilia MTV kwahiyo hadi sasa tuzo za kimataifa kwa msimu huu unazo na hizi za BET sie wengine ndo maana tulikuwa wala hatuhangaiki nazo kama ambavyo hivi Sasa Wanaija wasivyohangaika nazo-- in short, Wanaija wamezisusa BET Awards ki utuzima!