THEBADDEST
JF-Expert Member
- Dec 22, 2019
- 247
- 137
Nimekuelewa mkuuUnaiba bank ili upate pesa ukanunue vitu uvipendavyo...sasa kama hivyo vitu unavipata unapovitaka tena bila hela kwanini ukasumbuke kuiba bank?
Nimekuelewa mkuuUnaiba bank ili upate pesa ukanunue vitu uvipendavyo...sasa kama hivyo vitu unavipata unapovitaka tena bila hela kwanini ukasumbuke kuiba bank?
Hapa wahanga watakuwa wengi sana aiseee! Daaah, hatari sana!Ngoja kwanza;
Kwahiyo unataka kutuambia nini tunaokenua kupanguswa mkuyenge baada ya kazi, tena kwa vi-leso maalumu kwa kazi hiyo?
Nasisitiza arudi akamuombe AMFUNGUEInawezekana kweli?!
Maana alimwacha! Japo hawana ugomvi, mwanamke aliolewa na ana watoto wawili ana ujauzito wa tatu, alimpenda sana jamaa kupita kawaida, mpaka Leo anampenda sana na kumlaumu kwanini alimwacha wakati bado anampenda, ana mwambia hawa watoto wangekuwa wako sasa hivi, umenifanya nikaolewa na mtu nisiyempenda kwasababu yako,
japo hawana ugomvi na bado wanawasiliana vizuri tu lakini jamaa anahisi kile kitambaa alichofutiwa na kutiwa kwenye pochi kilikuwa na namna,,,
Sorry mkuu,,,Nasisitiza arudi akamuombe AMFUNGUE
Changamoto kubwa sio shekeli bali malighafi
Kwahiyo ata kama umetumia kondomu bado inafanya kazi?Ndio maana inashauriwa ukila mzigo wa mpango wa kando hakikisha mnaenda kuoga wote na kama ni maswala ya kujifuta jifute mwenyewe
Mmmh,,, hii inatisha sana, it's disaster indeed,Ipo ila itachukua muda sana
Damu au sioChangamoto kubwa sio shekeli bali malighafi
Duuuh hawa jamaa ndo wana kila zana, unahangaika tuNina mchango mkubwa sana kwenye kufisha na kufifisha nyota ya chama pendwa
Nimeroga sana hapo kabla lakini mwaka huu nimeroga mpaka jasho langu likawa linanuka uchawi
Nilijenga vilinge majini
Nikajenga vilinge ardhini
Nikajenga na angali
Nimepandikiza gundu kwenye rangi za chama
Wagombea nikawatupia gundu la kinyesi..mkubwa kabisa nikampiga jini kisirani
Nimeroga wala sijisifu ..nimeroga mpaka uchawi ukanikifu
Malighafi zangu maarufu zilikuwa ni
Maji ya gundu
Maji ya janaba bichi
Damu Chafu
Majani ya mkafiri
Nyota ya nuksi
Kinyesi cha popo/ngozi ya kinyonga
Mizizi ya mti chonganishi
Nikavaa koti la ugaguzi..walipokuja nikawapiga gundu wajumbe wakawaona kama maliwato ya jiji
Nikavaa koti la ulokole walipokuja kwa maombi nikawapiga muhuri wa upofu na kuzima nyota zao...walipojitokeza upenuni wajinadi wakakimbiwa na kuzomewa...
Nimejenga madhabahu za giza nyuani mwao
Nikajenga zingine kondeni
Na zingine kwenye mapito yao..hakuna nilipobakisha...na kila waliporudi kwangu kulalamika nikawaambia wamekosea masharti
Project inaendelea..huu ni mrejesho sehemu ya kwanza...mkiona wanakimbiwa..tambueni kuna miba za nungunungu zimetegwa kila pahala...
Hahaha haha hahaha haha sa itakuajeNina mchango mkubwa sana kwenye kufisha na kufifisha nyota ya chama pendwa
Nimeroga sana hapo kabla lakini mwaka huu nimeroga mpaka jasho langu likawa linanuka uchawi
Nilijenga vilinge majini
Nikajenga vilinge ardhini
Nikajenga na angali
Nimepandikiza gundu kwenye rangi za chama
Wagombea nikawatupia gundu la kinyesi..mkubwa kabisa nikampiga jini kisirani
Nimeroga wala sijisifu ..nimeroga mpaka uchawi ukanikifu
Malighafi zangu maarufu zilikuwa ni
Maji ya gundu
Maji ya janaba bichi
Damu Chafu
Majani ya mkafiri
Nyota ya nuksi
Kinyesi cha popo/ngozi ya kinyonga
Mizizi ya mti chonganishi
Nikavaa koti la ugaguzi..walipokuja nikawapiga gundu wajumbe wakawaona kama maliwato ya jiji
Nikavaa koti la ulokole walipokuja kwa maombi nikawapiga muhuri wa upofu na kuzima nyota zao...walipojitokeza upenuni wajinadi wakakimbiwa na kuzomewa...
Nimejenga madhabahu za giza nyuani mwao
Nikajenga zingine kondeni
Na zingine kwenye mapito yao..hakuna nilipobakisha...na kila waliporudi kwangu kulalamika nikawaambia wamekosea masharti
Project inaendelea..huu ni mrejesho sehemu ya kwanza...mkiona wanakimbiwa..tambueni kuna miba za nungunungu zimetegwa kila pahala...
Kule kum face na kumwambia ukweli tayari ni one big step ahead ..anaweza kubisha pale lakini baadae atajifikiria sanaMmmh,,, hii inatisha sana, it's disaster indeed,
Mwisho mkuu,,, na je, mathalan akienda alafu akamkana kwamba hajamfanyia kitu?!
Maana sio rahisi mtu kukiri kumtendea mtu witchcraft or use of spells, black magic etc