Ninayo zile za zamani kabisa labda tu nilipie
Kudadaki lile eneo nalipata sana aisee .Msata nyuma ya makaburi karibu bila shaka
Sawa lakini tutatoa kafara la damuMjomba mshana naweza kuja kwako unipe makinga yamwana ukome mtu akinichezea yamludie ?
Sent from my TECNO KD6 using JamiiForums mobile app
Duu kumbe jirani yangu...agiza mbuzi basi
Sasa mkuu yanaila namna gani wakati mimi nakuwa bado naiona bado iko nami kwenye eneo husika... Au yanakula kwa njia ya mnururisho?


kwani hata yakila utaona? Huoni ila hamu ya kupiga puchu itaongezeka hapo tambua jamaa wanataka tena
Ajali za kale kadaraja zina simulizi yake....si wote wafao pale hufa kabisaKudadaki lile eneo nalipata sana aisee .
Niliwahi pata ajali pale mbele kidogo kwenye kale kadaraja kabala hujapandisha ule muinuko kuelekea mizani
Walikufa watu Kama watano hivi pale
Kwa bahati nzuri nilitoka salama bila mkwaruzo wakati wa pembeni yangu alichanwachanwa na vioo full damu
Hakika siku ile nilinuona MUNGU
Miaka Kama 7 hivi iliyopita
Ajali za kale kadaraja zina simulizi yake....si wote wafao pale hufa kabisa



, mwaga mchele basiNi kweli, lakini ibilisi watu wanamkaribisha wenyewe, tamaa!Ingekiwa rahisi hivyo wafuasi wa ibilisi wasingeongezeka kila uchao
Nikitoka kilingeni poa
Daah kumbe aiseeAjali za kale kadaraja zina simulizi yake....si wote wafao pale hufa kabisa
