Kiby
JF-Expert Member
- Nov 16, 2009
- 6,932
- 4,697
Yaani Museveni hakumpa kiranja wetu mkono kabisa na aliporudi nyumbani kaliweka jopo lote alilokuja nalo karantini.Unakumbuka ile ya Mu7 chuttle? Vijana wangu kilingeni walikuwepo....![]()
Katika ulimwengu wa roho hii kitu sijui itakua inamaanisga nini.
Labda tupate dokezo kwako mwenye project





