Mshana Witch project

Mshana Witch project

Fresh mkitoka ku do demu anakufungashia kile kifutio mnamalizana
Hebu nipe ufafanuzi kidogo hapa, kuna rafiki yangu aliwahi kunambia walipotoka "ku-do" girl alimfuta na kitambaa cheupe kisha akakitia kwenye pochi yake, wakati taulo lilikuwepo, kisha akamwambia jamaa ole wako, ukiniacha utakoma!

Nini maana yake?! Na kuna uhusiano gani na hilo la janaba bichi?! Please
 
Mshana jr KWANINI MCHAWI ASIIBE BENKI
Unaiba bank ili upate pesa ukanunue vitu uvipendavyo...sasa kama hivyo vitu unavipata unapovitaka tena bila hela kwanini ukasumbuke kuiba bank?
 
Kama ni kweli wachawi hutumia vitu hivi basi uchawi ni uchafu sana
Maji ya maiti, Ngozi ya kinyonga, Janaba, Mavi ya popo, Damu ya hedhi...
Uchawi haujawahi kuwa msafi labda ule usiotumia hayo madude...but ni uchafu wa kiroho sio kimwili
 
Hebu nipe ufafanuzi kidogo hapa, kuna rafiki yangu aliwahi kunambia walipotoka "ku-do" girl alimfuta na kitambaa cheupe kisha akakitia kwenye pochi yake, wakati taulo lilikuwepo, kisha akamwambia jamaa ole wako, ukiniacha utakoma!

Nini maana yake?! Na kuna uhusiano gani na hilo la janaba bichi?! Please
Inawezekana alimtisha tu lakini hiyo ni risk akimpata mtaalam mzuri unaweza lufungwa ukapigwa Pini kila kona
 
Arudi kwa huyo mwanamke 'amfungue'
Inawezekana kweli?!

Maana alimwacha! Japo hawana ugomvi, mwanamke aliolewa na ana watoto wawili ana ujauzito wa tatu, alimpenda sana jamaa kupita kawaida, mpaka Leo anampenda sana na kumlaumu kwanini alimwacha wakati bado anampenda, ana mwambia hawa watoto wangekuwa wako sasa hivi, umenifanya nikaolewa na mtu nisiyempenda kwasababu yako,

japo hawana ugomvi na bado wanawasiliana vizuri tu lakini jamaa anahisi kile kitambaa alichofutiwa na kutiwa kwenye pochi kilikuwa na namna,,,
 
Back
Top Bottom