Dr.adams faida
JF-Expert Member
- Mar 11, 2013
- 1,913
- 3,450
Walengwa wapo nchinzima na nje ya mipaka,kwahiyo mr Mshana Jr umeloga nchi nzima?Walengwa....!!!!
1. Ngekewa na mvutoMshana Jr kuna mchongo nimepewa nitafute funza waliodondoka chni mixture na mchanga ilipolala maiti nasikia ukipata huo mchanganyiko ni hatari...imewekwa hela ndefu mezani nikipata vitu hivi hutumika kwenye mambo gani hasa?
Anakifunga kivipi.. Nataka nije kwako nijifunze niwe fundi maana kuna watu wananionea sana Mshana JrFresh mkitoka ku do demu anakufungashia kile kifutio mnamalizana
Ni mwanga ndio...mganga ni mchawi vile vile
We jamaa unaweza ukawa mwanga kweli.
Ule muingiliano ndio muhimu zaidi...kwenye condom unachukua vya nje na vya ndani unachanganya na maji ya mochwari nk

Hilo linaitwa janaba tasa halina faida zaidi ya kulisha mapepo

Unachukua order Nini?Aisee kazi ipo.
🤣🤣🤣🤣umenifurahisha sana uliyoyesama ni kweli kabisa kuanzia leo nimeamini wewe ni mtabe wa mambo haya...maana jamaa aliyeniwekea mchongo nae kasema hivyohivyo mkuu wangu! Kama unahuu mzigo njoo pm tufanyebiashara mkuu1. Ngekewa na mvuto
2. Utajiri
3. Mvuto na bahati
4. Kumpiga adui
Maarufu zaidi ni namba 2
Uzuri ni kwamba mimi sipo sana kwenye sekta ya 6x6 ila nataka nijae manyota mwili mzima 2025 nigombee uraisi.. Inawezekana mkuu?Karibu ...wana mbinu nyingi sana handbag ndio kibebeo
Tafuta janaba kiporoUzuri ni kwamba mimi sipo sana kwenye sekta ya 6x6 ila nataka nijae manyota mwili mzima 2025 nigombee uraisi.. Inawezekana mkuu?
Mkuu kagua tena target yako, maana naona ni kama mishale yako imeelekezwa kwa " mbobezi " Ha ha haaa! Kwenye haki na Nguvu halisi za Mungu, hizi zinaitwa 'uchwara'!Project inaendelea..huu ni mrejesho sehemu ya kwanza...mkiona wanakimbiwa..tambueni kuna miba za nungunungu zimetegwa kila pahala...
Janaba tasa...Tafuta janaba kiporo

Ha ha haaaa! Utakimbiza watu kwenye uzi!!!Usinielewe vibaya ila kiukweli nimeroga sana hata wewe kuna kipindi nilikutest![]()
Mshana ana PhD ya majanaba ahaa mnimecheka balaaJanaba tasa...![]()