Kim Il Kwon
JF-Expert Member
- Nov 13, 2015
- 1,219
- 1,033
mkuu mbona povu jingi jingi?? nani kakwambia nikisoma mada za huyu jamaa napata hofu? nani kakwambia nimeshakwenda kwa waganga wa kienyeji kwakua nilisoma posts zake? mkuu umetumia kigezo gani kujua naelekea kua mtumwa wa shatani?unaweza kutaja faida hata mbili tatu ukizopata kutoka kwake,
zaidi ya kukutia hofu na mwisho wa siku unaangukia mikononi nwa waganga wa kienyeji na kuishia kuwa mtumwa wa shetani.
just a very little advice: you better learn to think positive. so kila msoma biblia ni mkristu!!