Mshana Jr, agent wa Shetani JF?

maishapopote

JF-Expert Member
May 28, 2009
3,277
5,512
Akitumia elimu yake aliyoipata nchini Afrika kusini ya Budhisim...na mchanganyo wa vitabu mbalimbali vya kishetani...ujuzi wake katika meditation na ulozi...

Sasa amekua kinara katika mada zote za kishetani hapa jukwaani JF... Na kwa kuwa Jf kila mtu anavutiwa na mada hizi za kutisha na kustaajabisha...basi amepata wafuasi wengi akiwafundisha na kuwaelewesha na polepole kuwaelekeza namna ya kufanya...si tu katika meditation bali pia katika vitu hatari kama viapo vya damu,uzuri wa shetani,eti lucifer sio shetani...na mengine mengi ambayo amekua akiyatoa....

1) Kuweni makini na anayoyasema
2) Na muwaze na kuamua ni kwa faida ya nani mnajifunza haya
3) Mkajiulize je Mungu wenu anafurahia hayo?
4) Na kwann watu wengi mnaotaka sana kujua haya ni wakristu?
5) Muogopeni mno...anataka kuwapotosha imani yenu

Hayo ni maoni yangu..
 
Akitumia elimu yake aliyoipata nchini Afrika kusini ya Budhisim...na mchanganyo wa vitabu mbalimbali vya kishetani...ujuzi wake katika meditation na ulozi...sasa amekua kinara katika mada zote za kishetani hapa jukwaani JF...na kwa kuwa Jf kila mtu anavutiwa na mada hizi za kutisha na kustaajabisha...basi amepata wafuasi wengi akiwafundisha na kuwaelewesha na polepole kuwaelekeza namna ya kufanya...si tu katika meditation bali pia katika vitu hatari kama viapo vya damu,uzuri wa shetani,eti lucifer sio shetani...na mengine mengi ambayo amekua akiyatoa....


1) kuweni makini na anayoyasema
2) na muwaze na kuamua ni kwa faida ya nani mnajifunza haya
3)mkajiulize je Mungu wenu anafurahia hayo?
4)na kwann watu wengi mnaotaka sana kujua haya ni wakristu?
5)Muogopeni mno...anataka kuwapotosha imani yenu

Hayo ni maoni yangu..

Kwani wewe ulilazimishwa kufuatilia thread zake? Acha umbea huo.
 
Dini zipo toka kitambo, mashetani yapo toka kitambo, wachawi wapo toka kitambo, sijawahi kuona mshindi! Wote wanalingana nguvu, kama yupo bingwa basi awa angamize wengine watu wake wasiteseke!

Ila kama hamna bingwa basi tulia! Huwa naona mafundisho yakisema Oooh kuzini ni dhambi ila kwa sasa kuzini kumeshika moto kuliko hata ushirikina!
 
Akitumia elimu yake aliyoipata nchini Afrika kusini ya Budhisim...na mchanganyo wa vitabu mbalimbali vya kishetani...ujuzi wake katika meditation na ulozi...sasa amekua kinara katika mada zote za kishetani hapa jukwaani JF...na kwa kuwa Jf kila mtu anavutiwa na mada hizi za kutisha na kustaajabisha...basi amepata wafuasi wengi akiwafundisha na kuwaelewesha na polepole kuwaelekeza namna ya kufanya...si tu katika meditation bali pia katika vitu hatari kama viapo vya damu,uzuri wa shetani,eti lucifer sio shetani...na mengine mengi ambayo amekua akiyatoa....


1) kuweni makini na anayoyasema
2) na muwaze na kuamua ni kwa faida ya nani mnajifunza haya
3)mkajiulize je Mungu wenu anafurahia hayo?
4)na kwann watu wengi mnaotaka sana kujua haya ni wakristu?
5)Muogopeni mno...anataka kuwapotosha imani yenu

Hayo ni maoni yangu..
maishapopote kwanza nikupongeze sana kwa kutoa dukuduku lako ikiwa ni mtazamo wako kwangu kuhusiana na mada zangu
Najua ni una mengi zaidi ya kuandika kunihusu mimi na mada zangu na mambo yote yanayohusiana nazo...nitapenda kuwa bega kwa bega nawe Katika kueleweshana na kujuzana kwa uwazi na kwa mifano stahili huku tukitumia nukuu na lugha za kistaarabu
Naomba ushirika wako wa Karibu Katika hili kwa manufaa ya jukwaa
 
Last edited by a moderator:
Dini zipo toka kitambo, mashetani yapo toka kitambo, wachawi wapo toka kitambo, sijawahi kuona mshindi! Wote wanalingana nguvu, kama yupo bingwa basi awa angamize wengine watu wake wasiteseke!

Ila kama hamna bingwa basi tulia! Huwa naona mafundisho yakisema Oooh kuzini ni dhambi ila kwa sasa kuzini kumeshika moto kuliko hata ushirikina!

Haya mambo yalikuwepo tangu kuumbwa kwa dunia kwakuwa navyo ni sehemu ya uumbaji wa Mwenyezi Mungu, hatuna jinsi ya kuviepuka na vitakuwepo mpaka mwisho wa dahari...
 
Mada zake zina ushawishi mkubwa..na kama una akili ya kawaida unaingia kichwa kichwa...heb imagine tatiana nikutengenezee limbatwata la damu..utapona kweli

Asante ndugu,me mwenyewe nilishasita kuingia kwenye jukwaa Lao LA intelligence..... Naamini only Holy Bible is the standard of my life.

1440664976676.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom