Ndio hii halloween pumpkin....Alhamis hii tarehe 31 ni sikukuu ya wachawi “haloween”. Msijihusishe kwa chochote kama vile kuvaa mask au mavazi ya kutisha bali salini na kuomba kuvunja nguvu zao.
Leo oct 27 usiku mnampango gani wachawi. Maana naona wachawi wa USA wanacelebrate embu utujuze kuna nini? Na hii "2731" namba maana yake nini?
View attachment 1246733View attachment 1246735View attachment 1246736
Rakim
Mshana ataziweza hizi ndumba za watengeneza Boeing
Ukimuita mshana haji anajionaga keki ya harusi
anaangalia thread kaanzisha nani,haka ka jamaa
nakaonaga kama ka bi chau
Mshana ataziweza hizi ndumba za watengeneza Boeing
Alhamis hii tarehe 31 ni sikukuu ya wachawi “haloween”. Msijihusishe kwa chochote kama vile kuvaa mask au mavazi ya kutisha bali salini na kuomba kuvunja nguvu zao.
Ukimuita mshana haji anajionaga keki ya harusi
anaangalia thread kaanzisha nani,haka ka jamaa
nakaonaga kama ka bi chau
[/QUOT. Nime cheka Sana.
Agriiiiiii....
hey am here!,
happy haloween day October 31..yeeyaaah...
Yesterday 27th moon came darkly,mngao wa mwezi hujichanganya na nyota,au mwezi huonekana kama nyota its a magician empowering day.
HAPPY HALOWEEN.
NAAMAH..!
(naamah ni ameni apewayo lucifer)
Mkuu mbona unamuogelea mtu kama unajua ratiba zake za maisha. Unafikiri kila mtu anashinda JF kama weweUkimuita mshana haji anajionaga keki ya harusi
anaangalia thread kaanzisha nani,haka ka jamaa
nakaonaga kama ka bi chau
hivi nimekuita? au ndio mrs.mshana?Mkuu mbona unamuogelea mtu kama unajua ratiba zake za maisha. Unafikiri kila mtu anashinda JF kama wewe
#mshana_jr naona unashangaa kweli but its real and facts...!
Tumia akili wewe,shida zako na yeye usizilete kwenye thread za watu.hivi nimekuita? au ndio mrs.mshana?
ebu ukiona hii ID usipende i fatilia sanaaa
hujui hata mimi na huyo mshana tukoje so kaa kimya
unapoona ID moja ina tuhumu ID flani kaa kimya kabisa.
Nimemaliza.