MOSHI UFUNDI
JF-Expert Member
- Nov 25, 2022
- 501
- 1,148
Hii ndoto itakuwa na maana gani?
Kichaa alikuwa kifua wazi, muda alikuwa ananikimbiza alikuwa anaongea kama analalamika, kuna mtu pembeni akaniambia kuwa nyie mtakua mnajuana moyoni mimi nikawa nasema huyu simtambui kabisa ndio kwanza tumeonana leo.
Muda nilikuwa nakimbia Suruali yangu ilikuwa imekaa vibaya hivyo nilikuwa nakimbia kwa shida lakini pia nilikuwa nimevaa begi lenye uzito.
Mshana Jr
Rakims
Kichaa alikuwa kifua wazi, muda alikuwa ananikimbiza alikuwa anaongea kama analalamika, kuna mtu pembeni akaniambia kuwa nyie mtakua mnajuana moyoni mimi nikawa nasema huyu simtambui kabisa ndio kwanza tumeonana leo.
Muda nilikuwa nakimbia Suruali yangu ilikuwa imekaa vibaya hivyo nilikuwa nakimbia kwa shida lakini pia nilikuwa nimevaa begi lenye uzito.
Mshana Jr
Rakims