Wana-Jf,
Naomba tu kuuliza kama mshahara umeingia tayari hasa kwa watumishi wa serikali kama waalimu wa pale UDSM, kwani kuna jamaa ni Lecturer na alichukua pesa yangu siku nyingi na kuahidi kunilipa mshahara wa mwezi septemba. Nimewasiliana naye lkn ananiambia kwamba mshahara bado haujaingia.
Sasa naomba kama kuna mtu ana taarifa za mshahara kama waalimu wa UDSM tayari wameshapata mshahara naomba wanisaidie hizo taarifa.
NB: Naomba wale wote watakaokwazwa na ombi langu wanisamehe, lkn naomba mnisaidie taarifa kama UDSM mshahara umeingia tayari au bado.
Naomba tu kuuliza kama mshahara umeingia tayari hasa kwa watumishi wa serikali kama waalimu wa pale UDSM, kwani kuna jamaa ni Lecturer na alichukua pesa yangu siku nyingi na kuahidi kunilipa mshahara wa mwezi septemba. Nimewasiliana naye lkn ananiambia kwamba mshahara bado haujaingia.
Sasa naomba kama kuna mtu ana taarifa za mshahara kama waalimu wa UDSM tayari wameshapata mshahara naomba wanisaidie hizo taarifa.
NB: Naomba wale wote watakaokwazwa na ombi langu wanisamehe, lkn naomba mnisaidie taarifa kama UDSM mshahara umeingia tayari au bado.