Mshahara wa mwezi April umeshatoka?

Mshahara wa mwezi April umeshatoka?

Tuache utani. Hapa mpaka town sh elfu sita. Nauliza tena. JE MSHAHARA UMETOKA ?? Nisije nikatumia hii 10 ya mwisho halafu nikakwana Manyara
Sasa kama wewe polisi una elfu 10 tu iliyobaki, nikikupa laki tano cash nipitishe meno ya tembo utakataa kweli?
 
Mazoea ya kutegemea mshahara...sio mazuri..ni vyema kufanya... biashara ya ziada...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom