Watumishi wa Umma mmezid njaaUshauri wa kipumbavu. Hauna uhalisia.
Mtu anaenda ofisini saa moja, kurudi home saa moja jioni.
Hizo biashara anazisimamia vipi.
Ipi, unadhani kuna asiyetaka biashara? Donatila! We nafanya biashara gani? bahati mbaya hatufahamiani utanidanganyaMazoea ya kutegemea mshahara...sio mazuri..ni vyema kufanya... biashara ya ziada...
we nae kumbe sometimes haunaga point eeh...Hizo hela mnapewa mkononi au mnawekewa kwenye Account zenu?
Mliokuwa mnaulizia mishahara; tayari imeshatoka ( hakyanani mlikuwa mmsota kusota)
Mkuu title imefanyiwa uhariri, haikuwa kama inavyosomeka kwa sasa jambo ambalo ndio limezaa hilo swali langu.we nae kumbe sometimes haunaga point eeh...
kuna watu ukionaga comment yake unasema ehee... kumbeeee
but
title ilisema "mishahara yao ishaingizwa kwenye account zao" at the same time unakuja kuuliza "hizo ela mnapewa mkononi au mnawekewa kwenye account zenu?"
may be sijaelewa ulikua una maanisha nin
Tusikariri. Si kwamba kila anayepata mshahara hana biashara, la hasha! Wengine wanaitumia mishahara yao kuongeza mitaji ya biashara, kwa hiyo mtu akiuliza humu usikariri kuwa kipato chake ni mshahara tu!Mazoea ya kutegemea mshahara...sio mazuri..ni vyema kufanya... biashara ya ziada...
nikopeshe mkuu thirtybado mwambaa.....vp kwani umetingwa nikukopeshe??
Atakujibu akilipwa atakutumia kwny mpesa boss hahah.nikopeshe mkuu thirty
Faru kabula yuko wapi faru ndungai?Tusikariri. Si kwamba kila anayepata mshahara hana biashara, la hasha! Wengine wanaitumia mishahara yao kuongeza mitaji ya biashara, kwa hiyo mtu akiuliza humu usikariri kuwa kipato chake ni mshahara tu!
Yupo Ngorongoro huko, bado analeta fujo kwa wenzake kama alivyofanya wakati wa mchujoFaru kabula yuko wapi faru ndungai?
Hahah msalimie aisee.Yupo Ngorongoro huko, bado analeta fujo kwa wenzake kama alivyofanya wakati wa mchujo
Ukipata jibu nitag mkuunauliza, wameshaingiziwa hyo mishahara!?
hiyo Avatar yako.....Ha ha haaaaah kumbe waanga mko wengi sana.