Aisee, hongera saana mkuu. Naomba unipe tips mkuu.. Ilikuaje ulivyo toka rasmi kwenye huu utumwa.. Maana Mimi binafsi pia nko mbioni.Mnipe tu inapopatikana hele niko huru mkuu siku mingi
Walimu bhaana mnasumbua!!!!
Huyu huyu wa viwanda,makinikia,wasiojulikana,bombadia,chato airport na taarabuKwa Magu huyu au!!!