Ghost Worker
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 1,412
- 1,868
Sasa ulitaka mfanyakazi ategemee nini. Halafu muache kudanganyana kuwa ni lazima mfanyakazi awe na shughuli ya ziada. Huwezi tumikia mabwana wawili, so anayeona mshahara hautoshi suluhu nzuri ni kuacha ajira atafute kazi au shughuli yenye maslahi. Huwezi fanya shughuli nje ya ajira bila kuiba muda wa muajiri au kupunguza ufanisi yaani sehemu moja ITALEGA tu.Mazoea ya kutegemea mshahara...sio mazuri..ni vyema kufanya... biashara ya ziada...