benzonoate
Member
- Apr 17, 2018
- 9
- 1
Walimu bhaana mnasumbua!!!!
Mwisho wa mwezi ni lini/wapi?Du! Unaulizia Leo?! Mwisho wa mwezi bado mkuu.
Mishahara ndio nini wengine hatujui mishahara ,kila mwajiri ana utaratibu wake sijui wewe mwajiri wako ni nani,sisi wengine ndio waajiri na waajiriwa wenyewe.Wadau habari za muda huu,
Naomba mnijuze wadau mishahara ya mwezi April i imeshatoka au bado.
Kwa yoyote mwenye Kujua anijuze.
Kama umetingwa sana chukua salary in advance kupitia NMB Mobile menyu!Wadau habari za muda huu,
Naomba mnijuze wadau mishahara ya mwezi April i imeshatoka au bado.
Kwa yoyote mwenye Kujua anijuze.
Kwa Magu huyu au!!!Na mwezi huu kuna ongezeko la 184,000/= kwenye mshahara.Kwahiyo kwenye bajeti yako ongezea hizo pesa
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]Kwa Magu huyu au!!!
Walimu hatupo hvo.Atakuwa mwalimu tu