Mshahara wa mwezi April umeshatoka?

Mshahara wa mwezi April umeshatoka?

Bado ,tumuunge mkono Mange kimambi wanatucheleweshea mshahara na hakuna ñyongeza wanazipiga wenyewe
 
[HASHTAG]#ngopyolo[/HASHTAG] unampongeza jamaa.Una uhakika chombo kimesoma?
 
NAOMBA KUJULISHWA NAMNA YA KUPOST TAARIFA JAMII FORUM 0629088763 AU
mtumishi anayejua vizur jiografia YA lushoto kuhusu mambo kadha#
1= fursa za kilimo hasa Kata ya mlola
2=huduma za kijamii hasa maji, umeme, na miundombinu ya barabara
3=usafir wa mlola -Lushoto hadi nje ya wilaya
4=uwepo wa makazi hasa ya kupanga hasa mlola kwa watumishi hasa ukikosa nyumba za serikali hasa mlola nawasilisha nomba. 0629088763
 
NAOMBA KUJULISHWA NAMNA YA KUPOST TAARIFA JAMII FORUM 0629088763 AU
mtumishi anayejua vizur jiografia YA lushoto kuhusu mambo kadha#
1= fursa za kilimo hasa Kata ya mlola
2=huduma za kijamii hasa maji, umeme, na miundombinu ya barabara
3=usafir wa mlola -Lushoto hadi nje ya wilaya
4=uwepo wa makazi hasa ya kupanga hasa mlola kwa watumishi hasa ukikosa nyumba za serikali hasa mlola nawasilisha nomba. 0629088763
Fungua uzi wako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom