mkuu Rejao hata mi nashangaa wanavyomshangaa kwa kupokea mil. 6..... mbona pesa kidogo ukilinganisha na mishahara ya vijana wengi humu nchini???... labda afafanue huo ukufuru kwa maana ipi???
Precisely mkuu,I do concur with your statement!Milioni sita ni kufuru??????
Kodi yao ipoje?
Cost of Living sudan ipoje?
On my view naona kama ni hela ndogo sana!!!
milioni sita ni kufuru??????
Kodi yao ipoje?
Cost of living sudan ipoje?
On my view naona kama ni hela ndogo sana!!!
charminglady, naona huyu atakwa hajafanya utafiti wa mishahara ya watu hapa nchini. Naona kama vile ni mwandishi wa habari kwenye moja magazeti ya shigongo!!!
Acheni kuandika kama sio ma-great thinkers basi. Neno "KUFURU" inaweza ikawa ni "RELATIVE TERM')".
Career ya Mrisho Ngassa ni mcheza mpira,na nchi atokayo ni Tanzania, hili halina ubishi. Hivi tukiorodhesha wachezaji wote wa Tanzania na Mishahara hao, huyu hayupo top-10??
Mnamlinganisha Ngassa asie na hata Diploma moja labda na Engineer aliesota miaka kibao akikesha kwenye mbu ndio mnasema sio kufuru??
Kwa alichowekeza Ngassa mpaka kuja kupata hizo 6Mil ni hela nzuri tu tofauti na wengine wailliowekeza kwenye elimu, tena kwa kusotea kutoboa usiku, boom linachelewa mwezi mzima, unatumia akili nyingi kufikiri leo unakuja kujitapa eti unamzidi Ngassa mshahara!!!!
Tuna kina Felix Sunzu na Emanuel Okwi ambao ndio professional wetu hapa, wanalamba hizohizo, tena kwenye timu kama Simba ambayo naamini ni ndogo kuliko El Mereikh, why tusione kwamba kiwango hicho ni kikubwa kwa Mtanzania kupokea??
Fikirieni kwa umakini tena
BBC wametaja neno 'KUFURU'? Acha kuwasingizia wewe! Hiyo kufuru umeiweka wewe!Mkuu hiyo taarifa ni ya leo saa 12:45 asubuhi kutoka BBC.
........Ndumbaro alisema kuwa wakati akiwa Gefle, Boban alikuwa akilipwa mshahara wa kila mwezi wa Dola za Kimarekani 5,000 (sawa na Sh. Milioni 7.4), na kushangazwa na kauli kuwa kiungo huyo alikuwa hataki fedha hiyo ikatwe kodi.
Ndumbaro alisema vile vile kuwa, Boban alikuwa akihitaji kulipwa fedha zinazotokana na mapato ya milangoni, pengine kama utaratibu wa nchini ulivyo , jambo ambalo katika nchi zilizoendelea halipo.
Alisema kuwa kabla ya kueleza hoja hizo, Boban alianza kukacha mazoezi ya timu kwa kudanganya kuwa ni mgonjwa, jambo ambalo lilimfanya akose motisha ya Dola za Kimarekani 200 kwa kila mechi (sawa na Sh. 295,000), ambazo zilikuwa zikitolewa na uongozi wa klabu hiyo.
Madem watamkoma..........
Mbona kidogo? akikodi nyuma, usafiri, chakula na nyingine za kutumia familia atabaki na nini?
:A S thumbs_down::A S thumbs_down::A S thumbs_down::iamwithstupid::iamwithstupid::iamwithstupid::iamwithstupid::iamwithstupid::iamwithstupid::iamwithstupid::iamwithstupid::iamwithstupid::iamwithstupid::iamwithstupid::iamwithstupid::iamwithstupid::iamwithstupid::iamwithstupid::iamwithstupid::iamwithstupid::iamwithstupid::iamwithstupid::iamwithstupid:Huyo huyo Shigongo si ndiye anayekulisha wewe na familia yako?,hivi ni kwa nini umtaje mtu ambaye unaamini katika moyo wako kwamba hausiki na jambo unalolizungumzia?,huu ni ukosefu wa hoja na upungufu wa uelewa!!!!!!,kubwa hapa ni kujadili hoja na sio kuanza kumuingiza mtu asiyemo tena kibaya zaidi ni kwamba hata hajachangia hoja husika.
Nikusahihishe neno tishio,
Milioni 6 sio tishio, Samatta analipwa 15m mshahara tu, 15m akifunga goli klabu bingwa afrika, 5m akifunga goli ligi ya kongo,
Sasa samata ameibuka mfungaji bora wa TP Mazembe akipiga bao 24 kati ya hizo 6 ni za klabu bingwa tu.
Jumlisha kavuna kiasi gani mwaka huu wa 2012?
Hiyo habari huenda
ilitolewa kabla ya simba kuingilia kati,
Nijuavyo ni kuwa wasudani wameachana na mpango wa kumsajili ngasa, hivyo ataendelea kukipiga VPL Tz tu!
Mkuu hizi data huwa unazitoa wapi??Nikusahihishe neno tishio,
Milioni 6 sio tishio, Samatta analipwa 15m mshahara tu, 15m akifunga goli klabu bingwa afrika, 5m akifunga goli ligi ya kongo,
Sasa samata ameibuka mfungaji bora wa TP Mazembe akipiga bao 24 kati ya hizo 6 ni za klabu bingwa tu.
Jumlisha kavuna kiasi gani mwaka huu wa 2012?
Hiyo habari huenda
ilitolewa kabla ya simba kuingilia kati,
Nijuavyo ni kuwa wasudani wameachana na mpango wa kumsajili ngasa, hivyo ataendelea kukipiga VPL Tz tu!
Naye wakala wa Samatta, Damas Ndumbaro, alisema kuwa kulikuwa na mvutano wa hapa na pale baina ya viongozi wa Mazembe na mchezaji huyo ambapo mabingwa hao watetezi wa Ligi ya Klabu Bingwa Afrika walikuwa wanataka wamsainishe mkataba wa miaka mitano jambo ambalo wamelikataa.
Ndumbaro alisema kuwa wao walipendekeza Samatta asaini mkataba wa miaka mitatu na vile vile wahakikishe kwamba anapatiwa nyumba na motisha zake za kila mechi zielezwe kwenye mkataba huo.
Kwani Samatta atakapoanza kuichezea Mazembe atakuwa analipwa mshahara wa Dola za Marekani 5,000 (sawa na Sh. Milioni 7.5) huku pia akiwa amelipiwa bima.
Milioni sita ni kufuru??????
Kodi yao ipoje?
Cost of Living sudan ipoje?
On my view naona kama ni hela ndogo sana!!!