ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 23,596
- 56,845
Kufikia tarehe 26 mwez huu itakuwa Ni miez minne
He he he he!! Mkuu naona date zako zile ulizokuwa unatowaga hazikutoa matokeo tena 😔Hahahahahah this is Tanzania unaweza ukafariki hujaonjaga cake ya taifa af fresh tu
Aiseee hi ngoma nzito sana imenizidi uwezo Sina Tena hamu na ruwasa aisee kama tu majina kuyachakata imechukua muda namna hii borea niwapotezee tu ikitokea Basi nitaenda ila sitaki kuwaza now nimeelekeza akili utumishi UDOM nitakapoenda kupiga interview pengine next monthHe he he he!! Mkuu naona date zako zile ulizokuwa unatowaga hazikutoa matokeo tena![]()
Mkuu bora ucheki zari huko maana bila ya connection siku hz mambo hayaendi.Aiseee hi ngoma nzito sana imenizidi uwezo Sina Tena hamu na ruwasa aisee kama tu majina kuyachakata imechukua muda namna hii borea niwapotezee tu ikitokea Basi nitaenda ila sitaki kuwaza now nimeelekeza akili utumishi UDOM nitakapoenda kupiga interview pengine next month
Kunini litarehe hili la kihistoria mwamba..?10/7/2021
Kamaanisha tarehe ya leo, bado siku 21 au wiki tatu kuisha mweziKunini litarehe hili la kihistoria mwamba..?