K11
JF-Expert Member
- Oct 15, 2014
- 2,590
- 8,230
Tayari tangu jioni kama saa kumi na mbili, hata wewe kesho uhakikaWe umepata mi niko posta bank pcb
Tayari tangu jioni kama saa kumi na mbili, hata wewe kesho uhakikaWe umepata mi niko posta bank pcb
Juzi wapi umetoka jamanMna nini waajiriwa?? Tayar mmeshaanza kelele.mbona umetoka toka juz.
Bado Pipa, nimecheki CRDB sahivi.. ila leo ndio leoWakuu vipi kumesoma huko
Muulize yeye alieshiba mbona kaajiriwaSasa atokee mtu aseme waajiriwa tuna njaa.
Punguza njaa mkuuWakuu vipi kumesoma huko
Haki yake mzee.Punguza njaa mkuu
Huu mwezi itachelewa kwaajili ya madaraja.... wale wa madaraja mapya wanaula. Vuteni subira!Bado Pipa, nimecheki CRDB sahivi.. ila leo ndio leo
Ni nini mechanism ya daraja kuchelewesha kuingia kwa mshahara?Huu mwezi itachelewa kwaajili ya madaraja.... wale wa madaraja mapya wanaula. Vuteni subira!
System na michakato kuchukua muda. Vibali vilichelewa.Ni nini mechanism ya daraja kuchelewesha kuingia kwa mshahara?