Maisha ya kutegemea mshahara ukichelewa , unaweza kumuuliza hata ambaye hana ajira kuwa vipi umetoka ?Nina jirani yangu Mwl jioni hii anataka kanikopa 100,000/= ili arudishe kwa riba nafui atakapopata mshahara wa Agosti. Sijajua kama ni utapeli au ni kweli haujatoka kwa vile nilisikia siku hizi mishahara ni kati ya tarehe 19 na 20. Naombeni ukweli mnaojua ukweli kama ni bado au la ili nichukue maamuzi.
Mshahara tayari nimetoka kutoa saa hivi
Anataka kujua kama mishahara imetoka!kwa hio anataka kujikopa?
Nimecheka sana.
Daaah hatari sana
Umetoka?Naona mwezi huu mko vizuri hamkuushambulia sana huu Uzi....haya mkalipe madeni sasa..weekend safi.
Mpe tuNina jirani yangu Mwl jioni hii anataka kanikopa 100,000/= ili arudishe kwa riba nafui atakapopata mshahara wa Agosti. Sijajua kama ni utapeli au ni kweli haujatoka kwa vile nilisikia siku hizi mishahara ni kati ya tarehe 19 na 20. Naombeni ukweli mnaojua ukweli kama ni bado au la ili nichukue maamuzi.
Ndio mkuu.Tayari kwani wadau ??