Mshahara wa Agosti 2019

Mwanaume utakubalije kushikiwa mshahara wako mpaka mwisho wa mwezi ilhali una masters yako mkononi pambana jiongeze tumia maarifa jiajiri usiogope siku zote penye maono pana mafanikio[emoji123]
Ukijiajiri, hutakuja kuajiri wengine? Hao utawalipa nini kama sio mshahara?
Labda kazi zote utazifanya mwenyewe. Kumbuka hata changu kaajiri msichana wa kazi
 
Mkuu badilisha maisha yako
Maisha ya kutegemea mshahara sio mazuri kwa afya ya familia yako.
Jitoe ufahamu anza kuuza vitumbua ,maandazi na nyanya
 
Mkuu badilisha maisha yako
Maisha ya kutegemea mshahara sio mazuri kwa afya ya familia yako.
Jitoe ufahamu anza kuuza vitumbua ,maandazi na nyanya
Ungekuwa sahihi kama ningekuwa mkopaji. Mimi ni mkopwaji.
 
Hivi wanaopenda kuulizia mishahara ni wafanyakazi wa halmashauri? Walimu au maana kila mwezi lazima waulizie mshahara
Itakuwa ni halmashauri mkuu maana wana viwango vidogo sana vya mshahara
 
Kwanini uudhalilisheualimu? Ungeuliza tu bila kumtaja mwalimu usingejibiwa? Mpumbavu mkubwa wewe. Mwalimu kakupa ujuzi ulionao halafu unautumia kumdhihaki?
 
Jamaa mjanja huyu,sidhani kama kuna shida kama angeuliza tu moja kwa moja kama mshahara umetoka!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…