Hajulikani
JF-Expert Member
- Nov 27, 2013
- 273
- 248
Wadau tujadiliane humu, inasemekena wafanyakazi hasa wa uma wanalipwa mishahara ambayo haitoshelezi kumwezesha mfanyakazi kulisha familia, kupeleka watoto shule, kujenga nyumba na kuwa angalau na kitega uchumi.
Je ni Mshahara kiasi gani unaoweza kutosheleza mahitaji hapo juu na kumfanya mfanyakazi kuishi maisha ya staha?
Sent using Jamii Forums mobile app
Je ni Mshahara kiasi gani unaoweza kutosheleza mahitaji hapo juu na kumfanya mfanyakazi kuishi maisha ya staha?
Sent using Jamii Forums mobile app