Third eye judge
Senior Member
- Aug 9, 2016
- 133
- 119
Ushauri sahihi Ni upi ??. Na ushauri kutoka kwa Mtume Mwamposa.
Je mtaji yafaa kuingizwa kwenye biashara au kujenga nyumba ya kuishi ?
Hii inawahusu zaidi waajiriwa.
Mtume na Mchungaji Boniphace Mwamposa Bulldozer alipokuwa akiongea na wafanyabiashara na wafanyakazi katika Madhabahu ya Arise and Shine Kawe Dsm, alizungumza jambo ambalo wengi hupata utata katika kujua kipi Ni sahihi zaidi.
Mtume Mwamposa alisema kuwa hashauri mfanyakazi kuchukua hela ya mkopo na kwenda kuitumia kwaajili ya kujenga nyumba ya kuishi, badala yake yafaa hela hiyo aiingize kwenye biashara, izalishe, na kisha fedha inayotoka katika biashara aliyoianzisha ndio aitumie kujengea nyumba ya kuishi.
Aliendelea na kusema kuwa hata yeye angeamua kujenga nyumba ya kuishi nyumbani kwao lakini aliona Ni bora zaidi kujenga kwanza hoteli izalishe fedha kwanza.
Swali hili limekuwa Ni gumu kwa wengi juu ya uamuzi sahihi kuhusu kipi kianze. Je maoni yako Kama mdau unasemaje juu ya hili ?
Je mtaji yafaa kuingizwa kwenye biashara au kujenga nyumba ya kuishi ?
Hii inawahusu zaidi waajiriwa.
Mtume na Mchungaji Boniphace Mwamposa Bulldozer alipokuwa akiongea na wafanyabiashara na wafanyakazi katika Madhabahu ya Arise and Shine Kawe Dsm, alizungumza jambo ambalo wengi hupata utata katika kujua kipi Ni sahihi zaidi.
Mtume Mwamposa alisema kuwa hashauri mfanyakazi kuchukua hela ya mkopo na kwenda kuitumia kwaajili ya kujenga nyumba ya kuishi, badala yake yafaa hela hiyo aiingize kwenye biashara, izalishe, na kisha fedha inayotoka katika biashara aliyoianzisha ndio aitumie kujengea nyumba ya kuishi.
Aliendelea na kusema kuwa hata yeye angeamua kujenga nyumba ya kuishi nyumbani kwao lakini aliona Ni bora zaidi kujenga kwanza hoteli izalishe fedha kwanza.
Swali hili limekuwa Ni gumu kwa wengi juu ya uamuzi sahihi kuhusu kipi kianze. Je maoni yako Kama mdau unasemaje juu ya hili ?