Mshahara umetoka lakini hauna nyongeza

Mshahara umetoka lakini hauna nyongeza

Samahani nimechanganyikiwa kumbe ni 4800? ACHA tu najisikia kufariki
 
Hapo wamebasilisha mikataba ya kila july sasa inakuwa mtu akipsnda hhaha sawa tuu ila askali wao hawana hewa sijui
 
Hapo wamebadilisha mikataba ya watu ambayo kila ikifika july huwa kuna ongezeko ila mwaka huu haieleweki itakuwa lini but nasikia askali wao wameongezwa sijui wao hawana mikataba kama wengine
 
Haukusoma walaka..... Alishasema anasimamisha nyongeza za mishahara na kupanda kwa madaraja mpaka uhakiki utakapokwisha..... Baada ya hapo usipo ona chochote NDIPO uanze kuropoka ropoka
 
Back
Top Bottom