Mshahara umetoka lakini hauna nyongeza

Mshahara umetoka lakini hauna nyongeza

Ulimuelewa vizuri hapa kazi? alisema kwanza anapambana na hewa ya hydrogen peroxide akishaasafisha ndio mambo mazuri yatakuja kwale pyurities. Hivyo muwe na subira miezi miwili aliyoahidi mbado cha msingi chapa kazi kwa juhudi na maarifa.
 
Naombeni msaada wakuu,nimehamisha pesa kutoka Nmb mobile,kuileta M _pesa..lakin haijaja ila salio kwa account limekatwa.nafanyeje?
mkuu watu washelia sana.
Hapo utaambiwa hela ipo hewani subiri masaa 72 hela yako itarudi
hapo usahau huo mtandao siku hizi hauaminiki kbsa
wakikirudishia, usijali kufanya hivyo tena
 
umeshaumia, rafiki yngu alifanya hivyo mwezi uliopita, ilimchukuwa siku 5 kupata hela yke tena ikiwa imejeruhiwa sana. watakwambia uandike barua ya kuomba, nenda kesho benk uwaone walivyo wasumbufu. naamini hutarudia tena
 
Back
Top Bottom