ophthalmic doctor
Senior Member
- Feb 12, 2017
- 191
- 249
TugomenHapo wamebadilisha mikataba ya watu ambayo kila ikifika july huwa kuna ongezeko ila mwaka huu haieleweki itakuwa lini but nasikia askali wao wameongezwa sijui wao hawana mikataba kama wengine