CHUAKACHARA
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 12,358
- 6,422
Basi ukiona hivyo bado!nipo hapa nachungulia hapa nmb branch,mbona sioni mtu hata mmoja!
Basi ukiona hivyo bado!nipo hapa nachungulia hapa nmb branch,mbona sioni mtu hata mmoja!
Acha upuuzi watu wako serious wewe unaleta utoto mshahara bado banaKumbe
acia tusubirieHaijatoa taarifa bado.!
Kumbe mlikubaliana sasa tatizo liko wapi ukitoka mshahara atakwambia au umepangisha tapeli?kick ya pikipiki?mie natimiza wajibu!kwani aliniambia nimshtue katika tarehe hii ya 22 na 23!na mie nimefanya hivyo!
enzi za "hendisamu" kikwete mida hii wapangaji wangu washanipa changu na wanacheka vicheko vya furaha tu!ahahaha!hapo fazahausi nishapewa ofa na afisa maliasili!dah!those sweet old days!enzi za kikwete aya makitu hayakuwepo
2mia NMB mobile kujuaKuna Mtu Mtumishi Namdai Kodi ya Nyumba!
Vipi?Shimo Lishatema?
Kwani Aliniahidi Tarehe 22 Mkulu Atakuwa Ameshalitemesha!
Nawasilisha!
We ndo muhusika sema unataka kujificha kwa la karangaKuna Mtu Mtumishi Namdai Kodi ya Nyumba!
Vipi?Shimo Lishatema?
Kwani Aliniahidi Tarehe 22 Mkulu Atakuwa Ameshalitemesha!
Nawasilisha!
Mbona povu mkuu,Acha upuuzi watu wako serious wewe unaleta utoto mshahara bado bana
dah!mkuu,are you serious?mbona unataka kuitia furaha yangu huzuni!Hazina pamekauka....hakuna pesa,zimepelekwa operesheni vunja ukuta,pia bandari imekauka na watalii hakuna
kumbe?acha nimgongee mlangoni,aende kwenye a.t.m fasta!Kumbe
Dah!bad news to me!Bado
dah,mkuu are you serious?Bado
Wameingiza uck huu ama?inshu tayari we Fanya kucheck nmb mobile me nimeckeck nikakuta shimo limetema
mkuu,labda wamenionea huruma!Uzi wako una bahati mi nimesema kitu kuhusu mkulu kufilisika ukaondolowa fasta
me nimecheck nmb mobile mda huu nikaona salio linasomaWameingiza uck huu ama?