Mshahara Umeshatoka?

Mshahara Umeshatoka?

Namkimbia mazahousi hadi sasa sijarudi home na simu nimezima. Nikirudi nanyatia ndani halafu kesho alfajiri mwendo mdundo.
 
Serikali imeshindwa kuajiri,imeshindwa kupandisha mishahara,imeshindwa kupandisha madaraja watumishi.

Sasa naona hata mshahara itakuwa shida

Viwanda hoyeeeeeee!!!!!!
Wewe lazima ni mchawi
 
idara gani hiyo kiongozi mbona huku kwenye idara yenye rundo la watumishi hakuna kitu hebu niwekeni vizuri isije ikawa mambo ya kipuuzi yale ya hewa
eti mambo ya 'hewa ' ya kipuuzi. Hapa ni mawili ninayoyaona toka kwako. Kwanza either ww ni Hewa au mfaidika wa hewa .that's why unaona upuuzi kwa kuwa umeguswa tena vibaya
 
Back
Top Bottom