Mshahara mwezi Julai bado?

Mimi nina kipato cha ziada.hicho ni kwa ajili ya serving na mambo mengine ya maendeleo.kula,madeni madogo madogo,ndugu,na hela ya michepuko ni mshahara.mshahara ni haki yangu hata kama ninaingiza milioni mia kila siku.
 
Back
Top Bottom