Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,702
- 36,125
Watu washalipia madeni ya pombe na dada poa.Mkuu huko kwenu wavaa vitenge nilisikia mlishachukua chenu jana.
Kuna dada poa wanakopesha, malipo mpaka posho au mshahara ukitoka
Watu washalipia madeni ya pombe na dada poa.Mkuu huko kwenu wavaa vitenge nilisikia mlishachukua chenu jana.
nishasahau kabisa kutongoza wakowapi haoWatu washalipia madeni ya pombe na dada poa.
Kuna dada poa wanakopesha, malipo mpaka posho au mshahara ukitoka
Huku Buza kwa Mpalange na Temeke Relininishasahau kabisa kutongoza wakowapi hao
Kikubwa kwa usAID zipomfukoni na nisinyoe vuzi zoteeeee
Sent from my TECNO F2 using JamiiForums mobile app
Maisha ya kutegemea mshahara pekee yana changamoto. Mungu wasaidie waajiriwa wote, wawe na angalau kamradi kamoja ka kuingiza kipato cha ziada. Amen
Tunaomba screenshotCRDB TAYARI MKUU,
SMS nimeisoma sasa hivi
Mtumwa wa mshahara. Jitahidi uwe na kipato nje ya ofisi yako utanishukuru baadaeKwa wale wenye mchecheto na moto wa mshahara, ni kwamba mishahara imetoka leo 23/07/2021.
Naomba kuwasilisha!
Kwa wale wenye mchecheto na moto wa mshahara, ni kwamba mishahara imetoka leo 23/07/2021.
Naomba kuwasilisha!
Ujuaji mwingi, kila mtu akifungua hiyo biashara unayofanya wewe nani atamuuzia mwenzake? Utofauti wetu ndiyo unatufanya tuweze kuishi pamoja na kwa amani, ulichonacho wewe mwingine hana, na alichonacho mwingine wewe hunaMtumwa wa mshahara. Jitahidi uwe na kipato nje ya ofisi yako utanishukuru baadae
Na hakuna shida kuwa mtumishi wa umma na kuwa na biashara nyingine nje!Ujuaji mwingi, kila mtu akifungua hiyo biashara unayofanya wewe nani atamuuzia mwenzake? Utofauti wetu ndiyo unatufanya tuweze kuishi pamoja na kwa amani, ulichonacho wewe mwingine hana, na alichonacho mwingine wewe huna
Huyo jamaa mshahara wake ni lake 8,kuna jamaa ana kipato nje ya ofisi,ukijumlisha na mshahara ni laki 4.....Mtumwa wa mshahara. Jitahidi uwe na kipato nje ya ofisi yako utanishukuru baadae
Na hakuna shida vilevile mtu kuishi kwa mshahara tuNa hakuna shida kuwa mtumishi wa umma na kuwa na biashara nyingine nje!
Imetoka sehemu gani? Mbona hatuioni?Kwa wale wenye mchecheto na moto wa mshahara, ni kwamba mishahara imetoka leo 23/07/2021.
Naomba kuwasilisha!
Wadau njaa imezidi na wadeni wangu wanataka hela zao. Vipi jamani, mshaharawa mwezi wa saba bado?