Mshahara mpya ni kichefuchefu kitupu!

Mshahara mpya ni kichefuchefu kitupu!

Ndugu yangu huyu jamaa ni radio tumbo akishiba tu..sasa kama ana waraka anachoogopa kuweka kitu gan?
Eti? Kulikuwa na haja gani kututangazia kwamba ana waraka wakati anajua kuwa hiyo ni siri ya ofisi yake?
 
Kama umeamua kutoweka huo waraka hapa, umetuletea hoja hii kwa sababu gani?

Kama ni suala la privacy, kuna kitu kinaitwa WHITEOUT. Basi sehemu ambazo hutaki zisomeke, kama vile majina, unazifuta, una-scan. Kwani watajua ni wewe?

Kumbuka: Kushiriki ufisadi si lazima uwe fisadi, unapofumbia macho ufisadi, nawe unakuwa fisadi.

Nimeeleweka na sifanyi malumbano.
 
Ngoja niwaweke wazi wakuu wenzangu.
Mkuu mkonomtupu ni kweli anayo haki ya kutouweka huu waraka hapa jukwaani kutokana na sababu maalum.
Kwa maana katika huo waraka pale mwisho kabisa pameandikwa "WARAKA HUU HAURUHUSIWI KUWEKWA KATIKA MATANGAZO YOYOTE AU VYOMBO VYOVYOTE VYA HABARI'"
Hivo nafikiri walimaanisha kuwa mpaka kwenye mitandao ya kijamii pia hauruhusiwi.....ila ni kweli ninao huo waraka hapa sasa.
Si unaijua serikali yetu hii kwa....:A S 2152::A S 2152::A S 2152:kama
innovation.jpeg
 
Last edited by a moderator:
Ndugu yangu huyu jamaa ni radio tumbo akishiba tu..sasa kama ana waraka anachoogopa kuweka kitu gan?

kwa kuwa amedanganya, hawezi kuweka ushahidi ambao utaonesha uongo wake? hawawezi ongeza kiasi kikubwa kwenye scale ndogo na kupunguza kiwango cha nyongeza kwenye scale kubwa wakati PAYE ni kubwa kadri ngazi ya mshahara inavyokuwa kubwa.
 
Habari hizi ndio ukweli nina waraka lakini sitauweka hapa kwa sababu za privacy
naomba tafadhali sitapenda malumbano lakini am stand to be corrected....
acha mbwembwe, huna waraka wala nini. correct mwenyewe hapo kwenye red.
 
Ngoja niwaweke wazi wakuu wenzangu.
Mkuu mkonomtupu ni kweli anayo haki ya kutouweka huu waraka hapa jukwaani kutokana na sababu maalum.
Kwa maana katika huo waraka pale mwisho kabisa pameandikwa "WARAKA HUU HAURUHUSIWI KUWEKWA KATIKA MATANGAZO YOYOTE AU VYOMBO VYOVYOTE VYA HABARI'"
Hivo nafikiri walimaanisha kuwa mpaka kwenye mitandao ya kijamii pia hauruhusiwi.....ila ni kweli ninao huo waraka hapa sasa.
Si unaijua serikali yetu hii kwa....:A S 2152::A S 2152::A S 2152:kama
innovation.jpeg


wewe house girl waraka utaupata wapi?
 
watumishi wa umma wamekuwa wakisubiri kwa hamu kuona na
kujua ongezeko la mishahara mipya kwa muda sasa. Na mengi
yameandikwa na kusemwa hapa lakini ukweli ni kwamba

1. Kima cha chini kabisa kimeongezeka kwa tsh. 70,000
kutoka 170,000 hadi 24,000
2. Tgs d mshahara umeongezeka kwa tsh. 55,600
3. Tgs e mshahara umeongezeka kwa tsh. 54,800
4. Tgs f mshahara umeongezeka kwa tsh. 34,700
5. Na tgs h hadi j mshahara umeongezeka kwa tsh. Kati ya 160,000
hadi 200,000,
na wakubwa wameongezew tsh. 400,000
habari hizi ndio ukweli nina waraka lakini sitauweka hapa kwa sababu za privacy
naomba tafadhali sitapenda malumbano lakini am stand to be corrected....

'kila mtu ana haki ya kufanya na kusema lile apendalo hivyo hamna sababu ya kumdhihaki na kumsimanga kisa ame-stand on his side kila mtu ana msimamo wake na haki ya kuongea na kufanya lile apendalo sio,mind ur bizness...'
 
Kama ni issue za privacy mbona umeweka hizo figure ambazo ni sehemu ya waraka?
 
Watumishi wa umma wamekuwa wakisubiri kwa hamu kuona na
kujua ongezeko la mishahara mipya kwa muda sasa. Na mengi
yameandikwa na kusemwa hapa lakini ukweli ni kwamba

1. Kima cha chini kabisa kimeongezeka kwa Tsh. 70,000
kutoka 170,000 hadi 24,000
2. Tgs D mshahara umeongezeka kwa Tsh. 55,600
3. Tgs E mshahara umeongezeka kwa Tsh. 54,800
4. Tgs F mshahara umeongezeka kwa Tsh. 34,700
5. Na Tgs H hadi J mshahara umeongezeka kwa Tsh. kati ya 160,000
hadi 200,000,
NA WAKUBWA WAMEONGEZEW TSH. 400,000
HABARI HIZI NDIO UKWELI NINA WARAKA LAKINI SITAUWEKA HAPA KWA SABABU ZA PRIVACY
NAOMBA TAFADHALI SITAPENDA MALUMBANO LAKINI AM STAND TO BE CORRECTED....


kaka waraka we kaa nao tu ila hebu nambie mimi mwenye TGTS Z nimeongezewa ngapi?
 
Sisi wasukuma mikokoteni hayatuhusu hayo yaliyoandikwa kwenye waraka hivyo hata ukificha waraka hatuhangaiki!
 
Watumishi wa umma wamekuwa wakisubiri kwa hamu kuona na
kujua ongezeko la mishahara mipya kwa muda sasa. Na mengi
yameandikwa na kusemwa hapa lakini ukweli ni kwamba

1. Kima cha chini kabisa kimeongezeka kwa Tsh. 70,000
kutoka 170,000 hadi 24,000
2. Tgs D mshahara umeongezeka kwa Tsh. 55,600
3. Tgs E mshahara umeongezeka kwa Tsh. 54,800
4. Tgs F mshahara umeongezeka kwa Tsh. 34,700
5. Na Tgs H hadi J mshahara umeongezeka kwa Tsh. kati ya 160,000
hadi 200,000,
NA WAKUBWA WAMEONGEZEW TSH. 400,000
HABARI HIZI NDIO UKWELI NINA WARAKA LAKINI SITAUWEKA HAPA KWA SABABU ZA PRIVACY
NAOMBA TAFADHALI SITAPENDA MALUMBANO LAKINI AM STAND TO BE CORRECTED....

Upo sahihi mkuu. Nakusahihisha sehemu mbili:
1. Kima cha chini ni kutoka 170,000 hadi 240,000 (siyo 24,000).
2. TGS G umepanda kwa sh. 94,000/= (hukuiweka hii)
 
Back
Top Bottom