Msemo uliokukera zaidi mwaka huu

Msemo uliokukera zaidi mwaka huu

Nimejitoa kafara kupambana na mafisadi, halafu anajicontradict sifukui makaburi ya zamani. Nimejitoa mhanga kuwasaidia wanyonge, halafu anavunja nyumba kibao katkika bomoa bomoa bila kuwafidia hata senti na kutoa kauli kwamba anataka Watanzania waishi kama mashetani huh!
Sema msemo unaokukera mkuu acha kuhubiri siasa hapa Siyo kila wakati ni siasa. We can relax and laugh sometimes. Ndo maisha ati!
 
Naomba busara itumike huu msemo siupendi kweli masikion kwangu.
 
Back
Top Bottom