Chibike
JF-Expert Member
- Aug 16, 2024
- 4,896
- 7,522
Hawa wasemaji haswa huyu msemaji wa Azam apimwe akili kama akili yake Iko sawa au ni mgonjwa wa akili.
Kwanza ni makosa sana kwa msemaji wa timu kudharau na kuongea matamshi yenye dhihaka na uzushi kwa brand kubwa kama ya Simba., yeye hapo ni muajiriwa tu, hizo pesa za Tajiri Bakhresa hatokaa azimiliki maisha yake yote kwaio aache kudharau na kujishushia heshima na hadhi.
Yeye anaitukana Simba sports club kisa Bilioni 2, Sasa timu ya Pyramids ya misri imemsajili mchezaji kwa Bilioni 8.3 Tsh, mchezaji mmoja tu..bilioni 2 tu unaropoka kama mwehu, bilioni 2 kwa wengine ni hela ya mboga tu. Hata wanaweza kununua nafasi yako ya kazi na akapewa mwingine wewe ukaenda kusugua Gaga Tandahimba.
Kwanza ni makosa sana kwa msemaji wa timu kudharau na kuongea matamshi yenye dhihaka na uzushi kwa brand kubwa kama ya Simba., yeye hapo ni muajiriwa tu, hizo pesa za Tajiri Bakhresa hatokaa azimiliki maisha yake yote kwaio aache kudharau na kujishushia heshima na hadhi.
Yeye anaitukana Simba sports club kisa Bilioni 2, Sasa timu ya Pyramids ya misri imemsajili mchezaji kwa Bilioni 8.3 Tsh, mchezaji mmoja tu..bilioni 2 tu unaropoka kama mwehu, bilioni 2 kwa wengine ni hela ya mboga tu. Hata wanaweza kununua nafasi yako ya kazi na akapewa mwingine wewe ukaenda kusugua Gaga Tandahimba.