Msemaji wa Serikali: Tutatoa tamko taarifa ya ubalozi kuhusu masuala ya ndani ya nchi

Ghazwat

JF-Expert Member
Oct 4, 2015
23,718
66,262
Kuna taarifa inayosambaa kuhusu kinachodaiwa taarifa ya ubalozi mmoja kuhusu masuala ya ndani ya nchi. Tunajiridhisha. Tutatoa tamko punde.
IMG_20180815_195343_268.jpg
 
Wameshasema...yeye atawafanya nini.

Hata europian commision nao walitoa tamko na Mahiga akatoa lake...then what? Issue ni kwamba hilo la USG limeshakwenda viral kwenye international community. Hiyo tu basi.
 
Tuwafukuze nchini kwetu! Kwani hata tukichinja raia elfu wao inawahusu nini? Watimuliwe na huo ubalozi ufungwe Asap! Kwanza hatuhitaji tena misaada,makusanyo ya Tra yanatosha kujenga SGR,kununua ma dreamliner kibao,kujenga ma fly over hadi chato,kulipa wapinzani wanaokuja kutua mizigo yao na chenji kidogo inabaki tunanunulia paracetamol na pamba za hospitali zetu,tunawalipa walimu vimishahara vyao,na tunajenga majengo ya halmashauri zetu kwa hadhi ya kimataifa,kama hilo hapo!!!
16939134_748782815285693_9218751017507495257_n.jpg
 
Wameshasema...yeye atawafanya nini.

Hata europian commision nao walitoa tamko na Mahiga akatoa lake...then what? Issue ni kwamba hilo la USG limeshakwenda viral kwenye international community. Hiyo tu basi.
mangapi yameenda viral kwenye international community and nothing happen!!!
 
Nchi nyingine zijifunze kuacha kuingilia Mambo ya ndani ya nchi nyingine.
 

Tutawawekea vikwazo vya kiuchumi hao Marekani,wasiingile mambo yetu ya ndani.
Naunga mkono. Wale wanaomuunga mkono mwenyekiti wako wapi watoe tamko la kuilaani USA kuingilia mambo ya ndani ya uongozi huu uliowekwa na mungu?
 
Back
Top Bottom