Bullshit
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 1,300
- 1,495
Hivi ndo kusema kwamba hizo sio shida zenu au ni kukosa Elimu kuhusu masuala na sheria za nchi.
Mbaya zaidi hata waliosomea masuala ya nchi bado nao ni mbumbu kuhusu maswala ya nchi yao.
Haya nimefanyia uchunguzi kwenye suala hili linaloendelea kuhusu uwepo wa watu ndani ya serikali lakini sio raia.
Kazi kweli kweli
Mbaya zaidi hata waliosomea masuala ya nchi bado nao ni mbumbu kuhusu maswala ya nchi yao.
Haya nimefanyia uchunguzi kwenye suala hili linaloendelea kuhusu uwepo wa watu ndani ya serikali lakini sio raia.
Kazi kweli kweli