Msemaji wa Serikali: Nimeulizwa kuhusu matamko, hatuoni cha kujibu zaidi kuwatakia Pasaka njema

Jibu zuri sana!

Serikal ya Ndugu John Joseph Magufuli inawatakia Maaskofu wa KKKT Na waumini wote wa Dini ya Kikristo Pasaka njema

So kama hawana majibu maana yake watu wanataka maazimio yachukue nafasi
 
Huyu jamaa huwa ana majibu mafupi lkn yana uzito sana, Lissu alipotaka kuanzisha ligi na serikali jamaa alimwambia " hatuwezi kulumbana na mgonjwa ila tunamtakia matibabu mema" . Tokea siku hiyo Lissu hajawahi kuitisha tena press.
Jamaa huwa yuko makini.Mimi binafsi namkubali
Alipotoa tamko la ujio wa ndege mpya baada ya sintofahamu, alipotoka umakini wake sikuuona zaidi ya mipasho ambayo haipaswi kutolewa na mtumishi wa serikali aliye makini.

Serikali siku zote ni vitendo tu
 
So kama hawana majibu maana yake watu wanataka maazimio yachukue nafasi

Kwenye Ilani ya Uchaguzi ya 2015-2020 hakuna Sehemu anayotakiwa kujibu Mipasho ya Nyaraka!

Maaskofu wanakurupuka eti Rais alete Katiba Mpya!
Muongozo wa Utendaji kazi wa Rais Ni Ilani ya Chama chake sio Nyaraka za Kidini, hakuna sehemu CCM iliahidi Mambo ya Katiba Mpya, ile ya Warioba ni kihere here tu cha Mkwere
 
Kwenye Ilani ya Uchaguzi ya 2015-2020 hakuna Sehemu anayotakiwa kujibu Mipasho ya Nyaraka!

Maaskofu wanakurupuka eti Rais alete Katiba Mpya!
Muongozo wa Utendaji kazi wa Rais Ni Ilani ya Chama chake sio Nyaraka za Kidini, hakuna sehemu CCM iliahidi Mambo ya Katiba Mpya, ile ya Warioba ni kihere here tu cha Mkwere

Sasa katiba mpya ya wananchi itaanza mchakato very soon

Hiyo nyingine mkaitumie majumbani mwenu
 
Huyu jamaa huwa ana majibu mafupi lkn yana uzito sana, Lissu alipotaka kuanzisha ligi na serikali jamaa alimwambia " hatuwezi kulumbana na mgonjwa ila tunamtakia matibabu mema" . Tokea siku hiyo Lissu hajawahi kuitisha tena press.
Jamaa huwa yuko makini.Mimi binafsi namkubali

Yupo vizuri sana
 
Ni kweli hakuna cha kujibu, kinachotakiwa ni kuyafanyia kazi! Paska njema kwenu pia!
 
Apewe muda wa kutafakari kama anajua Kusoma hawezi kusema hana la kujibu badala yake ni kudharau viongozi wa Dini ambao ndio haohao Mkulu anataka wamuombee, Msemaji wa Serikali hana ubavu wa kujibu hata chembe ya paragraph moja ya sehemu ya waraka uliotolewa , ni busara akakaa pembeni
 
View attachment 724914Msemaji Mkuu wa Serikali Dkt. Hassan Abbas kupitia ukurasa wake wa Twitter ameandika hivi:

"Nimeulizwa sana kuhusu haya matamko, nasisitiza, kwa sasa hatuoni cha kujibu zaidi ya kuwatakia waumini na waamini wote Pasaka njema".
Huo ndio mpango ,kumjibu mjinga ni kumpa kiki ,nakutakia pasaka njema mh abasi na wote pale ikulu yetu
 
Huyu jamaa huwa ana majibu mafupi lkn yana uzito sana, Lissu alipotaka kuanzisha ligi na serikali jamaa alimwambia " hatuwezi kulumbana na mgonjwa ila tunamtakia matibabu mema" . Tokea siku hiyo Lissu hajawahi kuitisha tena press.
Jamaa huwa yuko makini.Mimi binafsi namkubali
[HASHTAG]#FakePhD[/HASHTAG] kweli tunatofautiana akili
 
Huyu jamaa huwa ana majibu mafupi lkn yana uzito sana, Lissu alipotaka kuanzisha ligi na serikali jamaa alimwambia " hatuwezi kulumbana na mgonjwa ila tunamtakia matibabu mema" . Tokea siku hiyo Lissu hajawahi kuitisha tena press.
Jamaa huwa yuko makini.Mimi binafsi namkubali
kwahiyo lissu kashindwa kuitisha press kwaajili ya hiyo sentensi 1? kichwa kisichofikiri ni mzigo kwa mwili.
 
Huyu jamaa huwa ana majibu mafupi lkn yana uzito sana, Lissu alipotaka kuanzisha ligi na serikali jamaa alimwambia " hatuwezi kulumbana na mgonjwa ila tunamtakia matibabu mema" . Tokea siku hiyo Lissu hajawahi kuitisha tena press.
Jamaa huwa yuko makini.Mimi binafsi namkubali

Sasa hayo ndo majibu makini,na mbona lissu kila Mara anafanya press conference tu akiituhumu ccm Kwa kumnyima hela ya matibabu,wewe kumbe akili zako ni sawa na buku Saba tu
 
Sasa hayo ndo majibu makini,na mbona lissu kila Mara anafanya press conference tu akiituhumu ccm Kwa kumnyima hela ya matibabu,wewe kumbe akili zako ni sawa na buku Saba tu
Nikumbushe alifanya ipi baada ya hilo jibu
 
Itaonekàna kama Majibu ya dharau ,ila ukweli ni kiwa yale Matamko ni magumu kwa upande wao na hawana Majibu ,Bora amekiri ukweli
 
Back
Top Bottom