Msemaji wa Serikali: Nimeulizwa kuhusu matamko, hatuoni cha kujibu zaidi kuwatakia Pasaka njema

View attachment 724914Msemaji Mkuu wa Serikali Dkt. Hassan Abbas kupitia ukurasa wake wa Twitter ameandika hivi:

"Nimeulizwa sana kuhusu haya matamko, nasisitiza, kwa sasa hatuoni cha kujibu zaidi ya kuwatakia waumini na waamini wote Pasaka njema".
Unafiki!! Hajakosa cha kujibu ila hujaagizwa ujibu nini,ukiiagizwa na baba yetu,utajibu.Tunajua unasubiri maagizo toka juuu
 
Huyu jamaa huwa ana majibu mafupi lkn yana uzito sana, Lissu alipotaka kuanzisha ligi na serikali jamaa alimwambia " hatuwezi kulumbana na mgonjwa ila tunamtakia matibabu mema" . Tokea siku hiyo Lissu hajawahi kuitisha tena press.
Jamaa huwa yuko makini.Mimi binafsi namkubali
Vita na maaskofu hamtaiweza; wameshawapa makavu kaeni chini mtafakari. Tuhuma ni nzito mno kutoka kwa maaskofu tangu uhuru wetu. Mmeweka rekodi mpya.
 
Vita na maaskofu hamtaiweza; wameshawapa makavu kaeni chini mtafakari. Tuhuma ni nzito mno kutoka kwa maaskofu tangu uhuru wetu. Mmeweka rekodi mpya.
Hao biashara zao zimeshikwa pabaya ndio maana wanakosa usingizi
 
Vita na maaskofu hamtaiweza; wameshawapa makavu kaeni chini mtafakari. Tuhuma ni nzito mno kutoka kwa maaskofu tangu uhuru wetu. Mmeweka rekodi mpya.
Wangekuwa maaskofu was kikatoliki saws ila hao wa kkkkkkttttt ni wepesi sana hawana lolote
 
Busara ni kuita viongozi wa dini zote viongozi wa vyama vya upinzani vyote wazungumze. Akiendelea kuachilia wajinga fulani wazidi kuijibia serikali, mwisho wa yote utakuwa mbaya sana.
Ukitengwa na kanisa au msikiti umetengwa na Mungu...
Ajibishane na Maaskofu wa KKKT wanachama wa Chadema ndakindaki au?? Kutakuwa na kikao hapo?? Askofu Shoo anajulikana tangu miaka ya nyuma ni mwanachama mtiifu wa Chadema ila anajificha nyuma ya KKKT.
 
Ni Aman tu,, hakuna sehemu ya tamko linalo mkashifu rais Magufuli, ila wapumbavu wanaleta lugha isiyo faa kwa Watanzania, tumpinge na tumkatae. Hii ni Pasaka. Hongera msemaji wa serikali.
 
View attachment 724914Msemaji Mkuu wa Serikali Dkt. Hassan Abbas kupitia ukurasa wake wa Twitter ameandika hivi:

"Nimeulizwa sana kuhusu haya matamko, nasisitiza, kwa sasa hatuoni cha kujibu zaidi ya kuwatakia waumini na waamini wote Pasaka njema".
Swali hili lingeelekezwa polisi kwanini hawawakamati wachochezi hawa na hawazikusanyi karatasi za waraka wa KKKT.
 
Ajibishane na Maaskofu wa KKKT wanachama wa Chadema ndakindaki au?? Kutakuwa na kikao hapo?? Askofu Shoo anajulikana tangu miaka ya nyuma ni mwanachama mtiifu wa Chadema ila anajificha nyuma ya KKKT.
ivi kikatiba hawarusiwi wale kua na chama si eti?!
 
Back
Top Bottom