Tumain
JF-Expert Member
- Jun 28, 2009
- 3,154
- 70
Alikuwa mwenyekiti ya bodi ya vodacam, mnafiki tu hana lolote...bei inajulikana na anachukua mshiko yuko kwenye pay roll, baba wa taifa ni mtaji wa kisiasa, nimeona hata mnyika anatafuta umaarufu kwa kutumia the same old fashion..hakuna wa kutudanganya