Kuna jamaa ana wasiwasi na uraia wa Msekwa!
Nani kamwambia hatujaisoma, na kina sisi ambao hatujui kusoma mpaka kwanza tujifunze kusoma?huyu mzee eti anataka kwanza tuisome katiba ya sasa ilitujilizishe kama tunahitaji katiba mpya. Huyu mzee hajatulia.
Du Mrema ndani.