MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
"Kwa Tanzania ya sasa na Mambo yalivyo na yanavyoenda Katiba Mpya kwa Tanzania ni lazima na hili wala lisipingwe au lisichukue muda mrefu Kutetewa Kisiasa" Mzee mwenye Akili Kubwa Spika Mstaafu Pius Msekwa.
Taarifa: Radio One Taarifa ya Habari
Nami MINOCYCLINE nasema Tanzania ya sasa inawahitaji mno Wazee wenye Akili Kubwa kama akina Spika Mstaafu Msekwa katika Mijadala ya Kitaifa na siyo Wazee wa Kawaida ( Wasio na Akili ) ambao ndiyo wamejazana kwa sasa.
Asante sana Spika Mstaafu Msekwa.
Taarifa: Radio One Taarifa ya Habari
Nami MINOCYCLINE nasema Tanzania ya sasa inawahitaji mno Wazee wenye Akili Kubwa kama akina Spika Mstaafu Msekwa katika Mijadala ya Kitaifa na siyo Wazee wa Kawaida ( Wasio na Akili ) ambao ndiyo wamejazana kwa sasa.
Asante sana Spika Mstaafu Msekwa.